Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Mtu anayekubalika huitaji kumpigia kelele zote hizi, ukiona mtu anajisifu/kusifiwa kuwa anakubalika/kupendwa jua kuna tatizo sehemu. Leo nimesikia eti wanampamba kuwa alikuwa mtu wa haki....nkasema mhuuuu jamani tumfika huko!!!

Na wewe mtazamo wako usilazimishe kuwa mtazamo wa wengine pia. Acha wanaoona alikuwa mtu wa haki waseme na wewe ruksa kuwa na mtazamo tofauti na wao.Kila mtu ana haki ya kutumia haki yake.
 
Hahahaaaa...... Niko kwenye msafara wa chifu Mareale bwashee tuna kibali cha kuingia hadi Chato siku ya Ijumaa, usimchukulie kizembe zembe bwashee!
Kumbe unatokea kwenye ukoo wa kichifu? Hongera sana mkuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Unataka tumzike mapema kwani anawai kwenda wapi? Tunamuazima only 3 to 5 days ya maisha yake ya milele ebu mtuache na kipenzi chetu.
 
Hivi wasukuma wanajuaga kuwa kila zama na kitabu chake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…