Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Mwanza imezizima wananchi wakesha kuusubiri mwili wa mpendwa wao hayati Magufuli utakaowasili saa 1:00 asubuhi!

Ni una mental bankrupt sio bure. Yaan kama una akili timamu hauwezi jikosesha thamani kiasi hiki. Pamoja na kuwahurumia watu wenye akili kama zako, huwa naumia moyoni kusikia jitu linajiturumua eti bora nitawaliwe na mzungu kuliko kutawaliwa na mwsfrica menzangu. Kifupi umebakiza kujipaka kinyesi ili kuwa chizi kamili.
dunia nzima inaomboleza kifo cha shujaa wetu, wewe ni nani bado unamponda mawe tuuuuuu. Si ni shetani tu wewe.
Uombolezaj wa namna hii unazihilisha tatzo la ajira n kubwa na tuna umasikin wa kupindukia.

Kama unashughul zako huwez kwenda kushnda uwanjan kutazama mfu
 
CCM utadhani wanafanya kampeni za uchaguzi,wanatumia nguvu kuwalazimisha wafanya kazi wahushurie,na hivyo kuongeza idadi ya watu.

CCM ni bora isingekuwepo.
Stupid, mshenzi, an animal, msaliti, kinyesi, shetani ni majina yanayokufaa wewe...
 
Stupid, mshenzi, an animal, msaliti, kinyesi, shetani ni majina yanayokufaa wewe...
Wewe uvccm acha kutukana basi. Haya matusi yako hayawezi kumrudisha marehemu duniani. Jitahidi unywe maji mengi ili upunguze munkari! Umepaniki sana. 😇
 
Back
Top Bottom