Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

JF Rock City tupo wengi sana tu, ila wengi ni waoga sana kukutana.

Kuna wanaosema kuonana ni "Unafiki" n.k. Kwani Wing zingine huwa wanafanyaje na sie tushindwe? Kumekuwa na Umoja na Mshikamano miongoni mwa member waliokutana mpaka wana Wenyeviti na Makatibu Mf. JF Arusha Wing, je wao wanakabiliana vipi na huo unafiki? Je wanashindwa kukosoana wanapokosea ndani ya JF?

Wanaosema hakuna tija kufahamiana... Hamkuona kilichofanyika JF Arusha Wing kwa kwenda kutoa mkono wa pole kwa Dada yetu KOKUTONA? Wale tulioshiriki kwa namna moja ama nyingine tuliweza kutambua umuhimu wa JF na dada zetu kama Madame B, Smile, KOKUTONA na wengine wanaufahamu umuhimu wa JF.. wanaweza kuwa mashahidi hapa.

Hakuna haja ya kufahamiana kwa majina halisi labda ikitokea nikakutana na wewe Rock City kisha nikatambua kuwa wewe ndiye Boss wangu potelea mbali, ila tutambuana kwa ID zetu za JF.

Katika party iliyofanyika mwanzoni mwa mwaka huu "White Party" kuna watu waliohudhuria kwa kuficha ID zao. Kama hutotaka kujulikana unaweza kuficha ID yako. Si lazima tukufahamu kwa ID yako kama hutotaka.

Ni mawazo yangu....

Naunga mkono hoja,
Elewa kuwa huwezi kubalika na wote hata tukianza wachache watakaoona umuhimu watafuata.
Endelea kuangalia wangapi wamekubaliana nawazo lako kisha tupange tarehe na wakati wakukutana na mahali gani.
nihilo tu kwaleo.
 
Last edited by a moderator:
Naunga mkono hoja?
Elewa kuwa huwezi kubalika na wote hata tukianza wachache watakaoona umuhimu watafuata.
Endelea kuangalia wangapi wamekubaliana nawazo lako kisha tupange tarehe na wakati wakukutana na mahali gani.
nihilo tu kwaleo.

Safi sana.
 
JF Rock City tupo wengi sana tu, ila wengi ni waoga sana kukutana.

Kuna wanaosema kuonana ni "Unafiki" n.k. Kwani Wing zingine huwa wanafanyaje na sie tushindwe? Kumekuwa na Umoja na Mshikamano miongoni mwa member waliokutana mpaka wana Wenyeviti na Makatibu Mf. JF Arusha Wing, je wao wanakabiliana vipi na huo unafiki? Je wanashindwa kukosoana wanapokosea ndani ya JF?

Wanaosema hakuna tija kufahamiana... Hamkuona kilichofanyika JF Arusha Wing kwa kwenda kutoa mkono wa pole kwa Dada yetu KOKUTONA? Wale tulioshiriki kwa namna moja ama nyingine tuliweza kutambua umuhimu wa JF na dada zetu kama Madame B, Smile, KOKUTONA na wengine wanaufahamu umuhimu wa JF.. wanaweza kuwa mashahidi hapa.

Hakuna haja ya kufahamiana kwa majina halisi labda ikitokea nikakutana na wewe Rock City kisha nikatambua kuwa wewe ndiye Boss wangu potelea mbali, ila tutambuana kwa ID zetu za JF.

Katika party iliyofanyika mwanzoni mwa mwaka huu "White Party" kuna watu waliohudhuria kwa kuficha ID zao. Kama hutotaka kujulikana unaweza kuficha ID yako. Si lazima tukufahamu kwa ID yako kama hutotaka.

Ni mawazo yangu....

I concur with your inputs 100%
 
Last edited by a moderator:
Ni wazo zuri, Villa Park kwa muda huo ninavyopafahamu ni vurugu. Ila its a good point to start with.

Unajua majumuiko mengi huwa yanaishia njiani kwa sababu ya kuyarasimisha. Other wise it can be a. good starting point.
 
Naunga mkono hoja,
Elewa kuwa huwezi kubalika na wote hata tukianza wachache watakaoona umuhimu watafuata.
Endelea kuangalia wangapi wamekubaliana nawazo lako kisha tupange tarehe na wakati wakukutana na mahali gani.
nihilo tu kwaleo.

Asante kwa kuniunga mkono,

Umoja huu sio wa lazima bali ni hiyari. Kwa wale tuliopo Rock City tuorganise kisha tukutane, watakaokuja sawa na wasiotaka kuja pia sawa. Kwa wale watakaoona ni Unafiki, Ujinga , kupotezeana muda yote heri.

Ila naiona mifano mingi kwa Arusha Wing, wameweza na wanadumisha umoja wao. Wanaweza kutusaidia katika kuanzisha umoja wetu. Arusha Wing tupeni muongozo jamani

Karibuni sana.

Nakala kwa PakaJimmy, Mzee wa Rula, Arushaone na wengineo...
 
Last edited by a moderator:
Mbona mi ujani copy

Asante kwa kuniunga mkono,

Umoja huu sio wa lazima bali ni hiyari. Kwa wale tuliopo Rock City tuorganise kisha tukutane, watakaokuja sawa na wasiotaka kuja pia sawa. Kwa wale watakaoona ni Unafiki, Ujinga , kupotezeana muda yote heri.

Ila naiona mifano mingi kwa Arusha Wing, wameweza na wanadumisha umoja wao. Wanaweza kutusaidia katika kuanzisha umoja wetu. Arusha Wing tupeni muongozo jamani

Karibuni sana.

Nakala kwa PakaJimmy, Mzee wa Rula, Arushaone na wengineo...
 
Last edited by a moderator:
JF Rock City tupo wengi sana tu, ila wengi ni waoga sana kukutana.

Kuna wanaosema kuonana ni "Unafiki" n.k. Kwani Wing zingine huwa wanafanyaje na sie tushindwe? Kumekuwa na Umoja na Mshikamano miongoni mwa member waliokutana mpaka wana Wenyeviti na Makatibu Mf. JF Arusha Wing, je wao wanakabiliana vipi na huo unafiki? Je wanashindwa kukosoana wanapokosea ndani ya JF?

Wanaosema hakuna tija kufahamiana... Hamkuona kilichofanyika JF Arusha Wing kwa kwenda kutoa mkono wa pole kwa Dada yetu KOKUTONA? Wale tulioshiriki kwa namna moja ama nyingine tuliweza kutambua umuhimu wa JF na dada zetu kama Madame B, Smile, KOKUTONA na wengine wanaufahamu umuhimu wa JF.. wanaweza kuwa mashahidi hapa.

Hakuna haja ya kufahamiana kwa majina halisi labda ikitokea nikakutana na wewe Rock City kisha nikatambua kuwa wewe ndiye Boss wangu potelea mbali, ila tutambuana kwa ID zetu za JF.

Katika party iliyofanyika mwanzoni mwa mwaka huu "White Party" kuna watu waliohudhuria kwa kuficha ID zao. Kama hutotaka kujulikana unaweza kuficha ID yako. Si lazima tukufahamu kwa ID yako kama hutotaka.

Ni mawazo yangu....

Gharama zitakazo ambatana na kujua JF kwa ID na kwa uhalisia wetu...ni kubwa sana...labda kwa kuwa JF siku hizi si tishio kwa habari tanzania...back then....wala wazo hili lisinge waingia kabisa...kucha na meno yangu...kuishi kibogoyo sio option kwa sasa...kila la heri... Rock City na wengineo wengi.....kijificha mpaka kieleweke...
 
Last edited by a moderator:
what for? Wewe ingia changia mada ukiwa na tatizo sema usaidiwe.

Hawa watu hawana kazi za kufanya. Hivi viumoja kama kile cha Arusha ndio vinaharibu mijadala hapa JF inakuwa sio spontaneous. Wanakutana vijiweni wanakuja hapa kuleta maazimio ya vikao vya vijiweni badala ya kujadili mada spontaneously.
Inakuwa kama Bungeni wabunge wanavyotetea sera za vyama vyao.
 
Gharama zitakazo ambatana na kujua JF kwa ID na kwa uhalisia wetu...ni kubwa sana...labda kwa kuwa JF siku hizi si tishio kwa habari tanzania...back then....wala wazo hili lisinge waingia kabisa...kucha na meno yangu...kuishi kibogoyo sio option kwa sasa...kila la heri... Rock City na wengineo wengi.....kijificha mpaka kieleweke...

Haya bana....

Ni mawazo yako pia, asante kwa mchango wako.

Karibu tena...
 
Last edited by a moderator:
Hiyo imekaa vema sana wala usiwe shaka,wanaosema ni unafiki bila hata kuuona umoja wenyewe ni waoga! Uoga wa kuogopa vivuli vyao,tubadilike jamani maendeleo ni watu si mtu! So 'm happy wth th idea!
 
Hiyo imekaa vema sana wala usiwe shaka,wanaosema ni unafiki bila hata kuuona umoja wenyewe ni waoga! Uoga wa kuogopa vivuli vyao,tubadilike jamani maendeleo ni watu si mtu! So 'm happy wth th idea!

Sure, let's keep it up!
 
Ujue nini mkuu wangu, pale Dar kuna JE SACCOS ambayo lengo ni kuanzishwa na kukwamuana ambayo ilibuniwa na members wa JF (mimi nikiwemo). Ambapo imesua sana shauri ya leadership na wengine kujikuta wapo ng'ambo.

I personally advice that, kwa members tulio eneo fulani na (kwa njia moja au nyingine) tukajuana au hata kushirikiana kwa baadhi ya mambo, naimani tutafaulu kwa kusaidiana walau hata kihali.

Nikosoe where am wrong.

Mimi nina wasiwasi na meno na kucha zetu maana kwa style hii tutakutana na members wa TISS.
 
Back
Top Bottom