All i can say
charminglady ni kuunga mkono hoja yenu. Mimi
umuhumu wa JF na umuhimu wa kuwa na umoja, na hata umuhimu wa kujuana
iwe kwa ID au kwa uhalisia nimeuona. Hata kuwa na marafiki JF tu ni
muhimu sana.
Apart from kumshangaa Mungu jinsi JF members walivyojitoa nilipopata
tatizo hili, bado nimeshasaidiwa mengi sana na JF members humu kwenye
mambo ya kiofisi hasa kwenye ofisi za watu hizi zenye urasimu mkubwa na
wengine hadi leo sijawah kuwatia machoni.
Sisi Tanga tulianzisha wa kwetu kwa influence ya Arushawing, tuliona
kuna umuhimu huo. Tuko wachache sana lakini tuna umoja wa ajabu na
tumeshikamana sana sana. Na tunaanini as the day goes tutaongezeka sana
tu
JF FOREVER