Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,351
Asante kwa kuniunga mkono,
Umoja huu sio wa lazima bali ni hiyari. Kwa wale tuliopo Rock City tuorganise kisha tukutane, watakaokuja sawa na wasiotaka kuja pia sawa. Kwa wale watakaoona ni Unafiki, Ujinga , kupotezeana muda yote heri.
Ila naiona mifano mingi kwa Arusha Wing, wameweza na wanadumisha umoja wao. Wanaweza kutusaidia katika kuanzisha umoja wetu. Arusha Wing tupeni muongozo jamani
Karibuni sana.
Nakala kwa PakaJimmy, Mzee wa Rula, Arushaone na wengineo...
Uliyoongea ndiyo msingi wa umoja wetu kuwa ni wa hiyari, tuna katiba na viongozi. Mtu anayekuja kubeep hatuna shida naye na hatu maintain u star. Kila member ni sawa na mwingine hata kama na rep kiasi gani jukwaani.
Kwa misingi hiyo tumefanikiwa sana mpaka saizi na hilo tunashukuru Mungu japokuwa kuna watu wanatuona kama tunajichora lakini hilo linabaki kuwa changamoto kama siyo kulitupia mbali wazo au mtazamo kama huo.
Last edited by a moderator: