Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

Mwanza JF users: Tuunde umoja/utambuzi wetu

Mie niko huku village nalima Mpunga kwa wingi mkikonfirm mtaniambia nije na magunia ya mpunga kabisa ..kazi na dawa
Ila naogopa nisjekutana na mdingi wangu siku yenyewe ..
 
Wakuu kabisa,

Heshima mbele.

Napenda kutoa hoja. Kwamba, kwa ongezeko la members wa JF jijini Mwanza (Rock City), ningependekeza uwepo mjumuiko wa kuipaisha na kuunda umoja wa JF hapa jijini yaani (JF Mwanza wing) au (JF Rock City wing).

Kwa kuwa ongezeko hili la wadau linazidi kukua, kwa kuwa JF inazidi kupata umaarufu katika tasnia ya kupashana habari motomoto zisizolala, kwa kuwa kundi kubwa la jamii yenye uelewa na usomi kujivinjari na JF kila kukicha, na kwa kuwa jiji la Mwanza ni kubwa na wadau wengi wanaingia na kutoka...ni busara sana sasa sisi wakazi wa jiji hili kuunda kaumoja ketu (japo kwenye msafara wa mamba na kenge wamo) hiyo haijalishi.

Waheshimiwa sana wa Rock City na ng'ambo, naomba kutoa hoja.
mkuu, tulijuana JF tutaachana JF habari za kutaka kuchoreshana hizi sasa sio kabisa!!!!!!!!
 
Wakuu kabisa,

Heshima mbele.

Napenda kutoa hoja. Kwamba, kwa ongezeko la members wa JF jijini Mwanza (Rock City), ningependekeza uwepo mjumuiko wa kuipaisha na kuunda umoja wa JF hapa jijini yaani (JF Mwanza wing) au (JF Rock City wing).

Kwa kuwa ongezeko hili la wadau linazidi kukua, kwa kuwa JF inazidi kupata umaarufu katika tasnia ya kupashana habari motomoto zisizolala, kwa kuwa kundi kubwa la jamii yenye uelewa na usomi kujivinjari na JF kila kukicha, na kwa kuwa jiji la Mwanza ni kubwa na wadau wengi wanaingia na kutoka...ni busara sana sasa sisi wakazi wa jiji hili kuunda kaumoja ketu (japo kwenye msafara wa mamba na kenge wamo) hiyo haijalishi.

Waheshimiwa sana wa Rock City na ng'ambo, naomba kutoa hoja.
Umoja huo utakuwa na madhumuni yapi?
Uongozi wa umoja huo utakuwa katika mfumo upi?
Wazo zuri sana ila nahisi ni mbinu za jamaa flani kutaka kuubana uhuru wetu wa kupashana habari.
 
Mkianzisha huo umoja na mie mnijuze, naishi Ilemela kata ya Buswelu
 
Wakuu kabisa,

Heshima mbele.

Napenda kutoa hoja. Kwamba, kwa ongezeko la members wa JF jijini Mwanza (Rock City), ningependekeza uwepo mjumuiko wa kuipaisha na kuunda umoja wa JF hapa jijini yaani (JF Mwanza wing) au (JF Rock City wing).

Kwa kuwa ongezeko hili la wadau linazidi kukua, kwa kuwa JF inazidi kupata umaarufu katika tasnia ya kupashana habari motomoto zisizolala, kwa kuwa kundi kubwa la jamii yenye uelewa na usomi kujivinjari na JF kila kukicha, na kwa kuwa jiji la Mwanza ni kubwa na wadau wengi wanaingia na kutoka...ni busara sana sasa sisi wakazi wa jiji hili kuunda kaumoja ketu (japo kwenye msafara wa mamba na kenge wamo) hiyo haijalishi.

Waheshimiwa sana wa Rock City na ng'ambo, naomba kutoa hoja.
tupo pamoja sana, leteni tu muhongozo bampa 2 bampa
 
Watu wnaozunguka lile ziwa wamekaa kikabila kabila tu! Ndio nini sasa...Hii J.F ni ya Tanzania nzima,nendeni mkatafutane kwenu huko...
 
Back
Top Bottom