LGE2024 Mwanza: Karani abanwa baada ya kuongeza majina hewa 200 kwenye daftari la Wapiga Kura

LGE2024 Mwanza: Karani abanwa baada ya kuongeza majina hewa 200 kwenye daftari la Wapiga Kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Karani wa uandikishaji wa mtaa wa Kabambo huko Mwanza amebanwa baada ya kugundulika ameongeza majina hewa takribani 200 kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Teknolojia imezidi kufichua mbinu za zamani za kuhujumu uchaguzi kwa kuongeza wapiga kura hewa kutoka watu 688 hadi 860
Pia, Soma:

==>
Karatu: Kijana Jasiri aibua Kashfa, Msimamizi wa kituo aondoka na daftari la wapiga kura ajaza majina kivyake!
==> Shinyanga: Mwanafunzi wa miaka 16 akutwa na wakala wa CHADEMA akiwa anajiandikisha kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Apigwa maswali mazito!
==> Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
CCM ni shetanu. Haitakuja ibadilike. Nchi imelaanika kwa sababu inaongozwa na chama shetani.
 
Aibu kwa CCM
Mkuu, ulipotea humu; karibu sana. Hiyo taasisi imechoka sana lakini haijitambui kama imechoka. Hata Simba akizeeka, Simba vijana humtaka aiachie eneo lao kwa kulilinda, na kama atapuuza ushauri wao wana mtwanga na kumfukuzilia mbali.
 
Uchafuzi wa serikali za mitaa mwaka huu utakuwa mkubwa kuliko ule wa 2019 na mwakani 2025 hali ndiyo itakuwa mbaya zaidi ya 2020.
Vyama hivi kushiriki hizi chaguzi wamekosea sana

Ova
 
NI muhimu kuendelea kuanika huu upotevu wa pesa za walipa kodi kwa kichaka cha uchaguzi...awareness kwa watanzania ndio kitu pekee kitaitoa hii Ccm madarakani!
 
Wadau wa maendeleo wamewaonya, lakini hamtaki kusikia

14 Oktoba 2024
Dodoma.

NAIBU KATIBU MKUU CCM-BARA AFANYA MAZUNGUMZO NA KANSELA KUTOKA UBALOZI WA NORWAY TANZANIA

alternative


Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg.John Mongella amekutana na kufanya mazungumzo na Kansela kutoka Ubalozi wa Norway Ndg.Ingrid Norstein kwenye Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma leo tarehe 09 Oktoba,2024

alternative
alternative
Naibu katibu mkuu CCM bara anaonekana kama vile akimuambia, mkuu hata wewe unawasaidia wadau kupata mafaili ya michezo yetu ya rafu katika uchaguzi, kuwa mzalendo kidogo.

Jamaa kinyonge kama vile anasema AI - Artificial Intelligence (akili mnemba / akili bandia) huwezi kuficha michezo hiyo, roboti inasoma hata lugha ya kiSwahili YouTube, JamiiForums na kutoa tafsiri kwa wadau wa maendeleo
alternative
 
Wenzenu chama dola kongwe FRELIMO michezo yao ya uchafuzi ilifuatiliwa kwa kina na wadau wa maendeleo


Waangalizi wa uchaguzi wa Mozambique kutoka Jumuiya ya Ulaya EU:

“Kazi yetu Umoja wa Ulaya ni kukusanya, kuchambua na kuchakata taarifa bila kuingilia mchakato wa uchaguzi.

Kila siku tunakutana na vyama vya siasa, tume na wasimamizi uchaguzi, vyombo vya habari, mashirika ya kiraia, na wapiga kura katika kila wilaya ya mkoa wetu. Ni kazi inayohitaji shauku na udadisi kuhusu tamaduni zingine”.

The European Union Election Observation Mission in Mozambique 2024:


View: https://m.youtube.com/watch?v=5tUBznmuDqQ

“Our job is to collect, process and analyse information without interfering in the process. Every day we meet with political parties, electoral bodies, media, civil society, and voters in every district of our province. It’s a job that needs interest and curiosity about other cultures
 
Huu utaratibu wa kujiandikisha nadhani umepitwa na wakati ni kupoteza muda tu. Karne ya 21, miaka 60 ya uhuru tunatumia makatasi. Tutoke analojia twende kidigitali zaidi.
Hapo mwandikishaji amepewa lengo/idadi ya watu anaotakiwa kuandikisha ndiyo maana akiona hali ngumu anaongezea majina yake.
Kupewa lengo na kuongeza watu hewa ni vitu viwili tofauti.hizo ni hila zakitoto za chama cha mbogamboga.
 
CCM badilini mgombea mtapenya,

CHADEMA susia uchaguzi, harakati za kudai Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote viendelee.

Nilisema tangu awali,

Hapatafanyika uchaguzi wowote wa HAKI bila kwanza kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya kabla ya Uchaguzi wowote.

Tusubiri.
Hata kama itapatikana katiba mpya kukiwa hakuna utashi wakisiasa ni kazi Bure.
 
Back
Top Bottom