LGE2024 Mwanza: Karani abanwa baada ya kuongeza majina hewa 200 kwenye daftari la Wapiga Kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nchi hii sijui tunaelekea wapi. Kila siku tunaambiwa kuna demokrasia, uchaguzi utakuwa wa haki lakini yanayofanyika kuipendelea Chama fulani yanatisha. Hakuna haja ya kujiandikisha ni uchafuzi mtupu.
 
Hakuna Mifumo thabiti ya Utambuzi wa Watu kwenye hizi nchi zetu hizi za ki-Afrika. Suala hili limefanywa kwa makusudi na baadhi ya Watawala wahalifu ili kuweza kujinufaisha binafsi wao wenyewe wakiwa madarakani. Mathalani, watawala wamekuwa wakivuruga makusudi mifumo ya utambuzi wa Watu katika nchi zao kwa nia ovu ya kutaka kuiba kura nyakati za Uchaguzi wa siasa, ili kuendesha biashara haramu ya binadamu, magendo na uhalifu katika masuala ya utakatishaji fedha chafu, kufanikisha biashara zao za madawa ya kulevya, na kufanikisha biashara haramu za kumiliki na kuendesha Magenge ya Uhalifu. Mfano mzuri zaidi kwenye suala hili ni uendeshaji wa biashara haramu ya magenge ya Utekaji watu na kuomba "Kikombozi" kutoka kwa Wanandugu wa Mtekwaji (abductees that kept into hostage camps) inayofanywa na baadhi ya Watawala wahalifu nchini Nigeria kupitia kwa Magenge ya Wanamgambo wa Boko Haram.
NB: Nchi ya Nigeria ina idadi ya watu wapatao zaidi ya Milioni 200 ambao wanaishi nchini humo, lakini watu ambao wamesajiliwa rasmi kwenye database ya raia wakazi wa nchi hiyo hawafiki hata idadi ya watu Milioni 22 nchini kote. Aidha, hata SIM cards za simu zilizosajiliwa rasmi kwa utambulisho rasmi ulio halali hazifiki hata Milioni Kumi kwenye nchi hiyo yote kabisa.
That's why Nigeria kuna uhalifu mwingi Sana, na ni vigumu Sana kuwatambua wahalifu hao.
 
Hahaha vituko mtaviona siku ya uchaguzi, vituo vitakuwa vitupu, na Mchengerwa atasema wapiga kura wameongezeka.

Wao takwimu wanazo tayari huko tamisemi.

CCM wakubali kushindwa?!
 
CCM ni janga la taifa la Tanganyika
 
Magufuli asamehewe na Mungu pakubwa sana
alifanya makosa makubwa yanayitugharimu leo na yatatugharimu siku zote

alikua mjinga sana Mungu amrehemu
 



Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…