Sijawahi fika ,mnanitamanisha niende kutembea.Nilijua ni mimi peke angu
Nitarudi tena safari hii nataka nilale malaika Beach ili nipate treatments za kitalii kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
πππ wee labda uje na WenzakoNext time ukirudi unitafute nikudunde..π
Ila pale hamna rooms za laki 1Nilijua ni mimi peke angu
Nitarudi tena safari hii nataka nilale malaika Beach ili nipate treatments za kitalii kabisa π€£π€£π€£π€£
Baridi tushaizoea..Wabishe tu ila mwanza pazuri bwana.... arusha baridi kali inapashusha thaman
Wenzangu ni akina ngumi tu we wenzako najua ni meno..π€£πππ wee labda uje na Wenzako
Shauri zako kijana πWenzangu ni akina ngumi tu we wenzako najua ni meno..π€£
Yes..Sema gharama zake asee si kitoto
Ukirudi uniambie tuongozane
Ah panavutia sanaNilijua ni mimi peke angu
Nitarudi tena safari hii nataka nilale malaika Beach ili nipate treatments za kitalii kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah buku nane sitakuja kwenda hapoYes..
inatakiwa kibubu kiwe kimejaa jaa..
Mfano hapo Malaika Chips plain buku 8, imagine π€£
Ah unapenda safari hadi rahaDahh ntakuwa naenda angalau kwa mwaka mara moja nile maisha mimii
Safari nyingine nataka niende hadi ukerewe
Ati Nini??ππWewe kaa hukohuko kwanza unavurugu hatukutaki..π
Ninayo familia kubwa tu huko,,Ndo uende mkuu uupe moyo raha
Kaa hukohuko usije mwanza utatuletea balaa!Ati Nini??ππ
We hutaki monkey poxππhebu kaa kwa kutuliaKaa hukohuko usije mwanza utatuletea balaa!