BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
We si bado upo Mwz,Pita mwenyewe ushuhudie haswas weekendHebu tiririka basii tuyajue yaliyomo humo
ExactlyMbeya hakuna kiwanja cha kuipata The Cask hakuna hakuna
Huko kuna nini cha maana ndugu? Nimekaa huko miaka 3 ni sehemu ambayo iko overrated.Antelope kweli? Tilapia kweli? Nilikuepo kwenye match ya simba na Yanga sikuona kiivo karibu ze girini site
Sasa Nyegezi pale kuna Sato gani?? Au kwasababu ilisikia Diamond kaimba Nyegezi.Ni kweli......nikiendaga Mwanza huwaga sipendi kufikia sehemu nyingine yoyote zaidi ya Nyegezi mana ndo huwaga najipimia tu Sato.
Aaaaah napajua hapo mkuu, pako vizuri ila next time jivute ukalale hotels za town uko uenjoy maisha.Haswaaaa na huwaga nafikia pale KUMALIJA HOTEL
Shida mnadhani watu hatutembei, Green City kuna kipi cha kuizidi mwanza?? Majiji ya maana hapa Tz ni Dar, Mwanz na Arusha.....Mbeya ni sehemu ambayo ipo tofauti na jinsi inavyosimuliwa, pa hovyo sana.Kama ni ugoro za nyegezi stendi temana nazo vuta hata za kishiri dingiii,ushawahi kuja green city ww au unaona tu kwenye tv? Dingiii temana na hizo ugorooo
Poa poa kiongozi asante kwa ushauriAaaaah napajua hapo mkuu, pako vizuri ila next time jivute ukalale hotels za town uko uenjoy maisha.
Wewe utakua unavuta bangi siyo ugoro tena bangi ya mkuyuniShida mnadhani watu hatutembei, Green City kuna kipi cha kuizidi mwanza?? Majiji ya maana hapa Tz ni Dar, Mwanz na Arusha.....Mbeya ni sehemu ambayo ipo tofauti na jinsi inavyosimuliwa, pa hovyo sana.
Mbeya ni muunganiko wa matope, hakuna jiji pale. Barabara za maana tu hamna, mnabanana na bajaji. Mwanza inaizidi Mbeya mbali sanaWewe utakua unavuta bangi siyo ugoro tena bangi ya mkuyuni
Taja barabara za mbeya,ninachojua mimi mwanza kuna barabara tatu tu basiMbeya ni muunganiko wa matope, hakuna jiji pale. Barabara za maana tu hamna, mnabanana na bajaji. Mwanza inaizidi Mbeya mbali sana
Mwenye uzi wake yupo sahihi hii ndo mwanzaView attachment 2261116View attachment 2261117View attachment 2261118View attachment 2261119View attachment 2261120
Sikujua kama ninajadili hoja na TUNTUFYEWewe utakua unavuta bangi siyo ugoro tena bangi ya mkuyuni
Nimepita hapo olevel na chuo Malimbe ninapajua vizuriSikujua kama ninajadili hoja na TUNTUFYE