chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja miaka miwili na mwingine miezi miwiliKwa mujibu wa twiter, watoto hao ni wachanga kabisa. Mmoja ana mwa na miezi 7 na mwengine miezi 4.
Alikua na ugomvi na mumewe akamua kwenda kuwatupa watoto kwenye mashamba ya mpunga, mwenye shamba ndie kawakuta, umri ni mkubwa miaka miwili na mdogo miezi miwili, wapo Bugando Hospital wanaendelea vizuri.Kumbe hii stori imeanzia mbali.Mi nilikuwa nashangaa mbona haijakamilika ila watu wana comment kama vile wanaijua sana!
Binafsi ningependa kujua aliwaacha saa ngapi?
Hiyo saa Tisa usiku nani aliwaokoa huko?Je ni watu wa ulinzi shirikishi?Maana sio kawaida saa tisa watu kuwa majarubani!
Kwani alikuwa ameolewa?Aliwaazaaje kwa mpishano huo wa umri?
Sent using Jamii Forums mobile app