Mwanza: Mama mbaroni kwa kuwatelekeza watoto kwenye majaruba ya mpunga usiku

Alikua na ugomvi na mumewe akamua kwenda kuwatupa watoto kwenye mashamba ya mpunga, mwenye shamba ndie kawakuta, umri ni mkubwa miaka miwili na mdogo miezi miwili, wapo Bugando Hospital wanaendelea vizuri.
Mume bado anasakwa na yeye atiwe mbaroni.

Source kwenye Tv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…