Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Kuwakusanya watu sehemu moja bila kibali na kuzingatia kanuni za afya ni kosa. Ila hua haliwi termed kama human traffickingHakuna ground za humani traffic pale ni uonevu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwakusanya watu sehemu moja bila kibali na kuzingatia kanuni za afya ni kosa. Ila hua haliwi termed kama human traffickingHakuna ground za humani traffic pale ni uonevu tu.
Mkuu huwaga unakunywa kangara?Viongozi wa dini badala ya kumtetea huyu nabii Zumaridi wao wanajipendekeza kwa Mbowe wa Chadema!
Kwa ground hizo basi itakuwa ni dabo standard.Wakamatwe wote wanaokusanya watu majumbani mwao.Kuwakusanya watu sehemu moja bila kibali na kuzingatia kanuni za afya ni kosa. Ila hua haliwi termed kama human trafficking
Kweli. Kosa la usafirishaji haram wa binadamu lina ushahidi? Hilo ndiyo lakumtoa jasho. Hayo mengine madogo tu.Makosa madogo tu hayo, atatoboa...
Kuwakusanya watu sehemu moja bila kibali na kuzingatia kanuni za afya ni kosa. Ila hua haliwi termed kama human trafficking
Viongozi wa dini badala ya kumtetea huyu nabii Zumaridi wao wanajipendekeza kwa Mbowe wa Chadema!
Mtu kujiita mungu ni kosa kisheria?Wamtetee Kwenye Jambo gani wakati anajiita mungu?. Huyo sio kiongozi wa dini huyo ni mungu Chini ya jua.
Atashinda mpk Pasaka atakuwa nje
Kweli. Kosa la usafirishaji haram wa binadamu lina ushahidi? Hilo ndiyo lakumtoa jasho. Hayo mengine madogo tu.
Kina Gwajima, Mwamposa, Subuye nk hakuna watu huko kutoka sehemu mbali mbali? Halafu ni nani amelalamika kukusanywa?
Mtu kujiita mungu ni kosa kisheria?
Makonda alijiita mungu wa dar alishitakiwa?
Ndugu zetu hao wamechanganyikiwa wanatapataps tu sasa hivi, Mama kawanyoosha kwelikweliViongozi wa dini badala ya kumtetea huyu nabii Zumaridi wao wanajipendekeza kwa Mbowe wa Chadema!
Human trafficking si inabidi hao wasafirishwa wawe upande wa mashtaka? Mbona wamejumuishwa kama watuhumiwa
Human trafficking si inabidi hao wasafirishwa wawe upande wa mashtaka? Mbona wamejumuishwa kama watuhumiwa
Hakuna ground za humani traffic pale ni uonevu tu.
Watu wanachanganya Christianity na white magic. Zumarid, mitume na manabii, watenda miujiza hawa ufanya white magic, Ukristo uutumia kama kichaka cha kupatia waumini na kupata usajili wa ibada zao. Lakini wengi si Wakristo.
Ufike mahali nchi iongozwe kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi.Sio kosa maana serikali haiamini katika dini, sema tu itachukuliwa Kama kashfa kwa dini zingine.
Unaelewa unachosema? Human trafficking ni kosa dogo?
Mkuu mimi nimesomea hizi ishu. Wewe umesomea au umeandika kwa hisia?Kina Gwajima, Mwamposa, Subuye nk hakuna watu huko kutoka sehemu mbali mbali? Halafu ni nani amelalamika kukusanywa?