Huyu mikorogo naona imeanza kufeli....
Never trust women,, alivokuwa madhabahuni alikuwa anaonekana Binti kabisa,, ila sasa Only God knows..
Na anajiita Mungu.. atulie wakina Kingai wamjuze mambo huwa yanaendaje
Ungekuwa mkristo ningekuuliza unazijua amri kumi za Mungu?
Basi kama ndio soma amri ya kwanza.
Kutoka 20:1-3
Mimi ni Bwana Mungu wako,
Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Sasa miungu wengine zumaridi ni mmoja wapo.
Anajiita mungu chini ya jua,si mkristo wala si mfuasi wa dhehebu lolote yye ndie top kiongozi na mungu,na wanaomwabudu ndio wale anao makerubi katikati ya wafuas wake n.k
Kwa hivyo akijiita mungu usipinge maana hujui asili yake.
Ni moja ya miungu iliyoko chini ya jua.
Hawa miungu walikuepo toka zamani,(na Mungu analijua hilo ndo akatoa sheria zake) sema miaka hii umebahatika na ww kumwona mungu akiwa mwanza ,(mungu chini ya jua)
Wakusaidiwa ni WALE wafuasi waliopandikizwa madude na huyo mama.
Hao ndo wana hitaji msaada spiritual.
Zumaridi anajua alikotoka.