Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Daah bado upo mbali mkuu. Utafika saa 6 usikuPouwa.. Igunga sasa
Singida then igunga then nzega then shinyanga ndo uitafute mwanzaNimebakisha kilometres 400 hivi kufika.. Ndio nimetoka Singida muda si mrefu
See you there..! When you see me...! Over the top[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Unapita national?Ukitoka stand ya zamani ya buzuruga unapandisha hiyo msoma road kabla hujafika nyakato sokoni mkono wa kushoto!
Hapo kuna warembo wa kila aina na kila saizi[emoji1787][emoji1787]
Buzuruga karibu na TIAMwanza live ni wapi?
Ukishalewa wote utawaona warembo wazuri sana, tatizo kama utaamka naye asubuhi ndio utajua kwamba nilinunua mbuzi kwenye gunia!Huhuuu shetemba pahovyoo wanawake wanajiuza hapo hadi wazee
Mpeleke Kwatunza akapate upepo mzuuri wa Ziwa huku akila samaki safiKaribu, mimi uniite tu wakati wa kunywa konyagi pale Bonansera
Wewe unakiaminj choo cha stand kwà asilimia ngapi?Mkuu umeshawapima!!?
AhaaaBuzuruga karibu na TIA
Huko mnakologea watuKwetu unakujua wewe?[emoji35][emoji3]View attachment 2614745