Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani


 
Si mlikuwa mnasema Jakaya Kikwete ndio anaendesha nchi nyuma ya Samia, haya pambaneni na huyo Jakaya sasa
 
Hotelini saa 9 usiku kuna kusanyiko?
 
Mama Samia anajibebea laana kwasababu ya kushauriwa na watu wa hovyo kwenye interest zao binafsi!
 
Habari hii imeeneza habari za Kongamano la Katiba kuliko hata kongamano lenyewe lingefnyika huko hotelini.
 
Unaonekana tangu baada ya kifo cha mumeo bado una msongo wa mawazo.

Wewe ni mjane ambaye unahitaji msaada maana hata huna sifa ya kupata urithi kutoka kwa marehemu.
Acha ufara kwa mtandao,kaandamane huku kumuunga mkono bwana ako😃😃.
Ila nyie jamaa wajinga aisee😃😃
Kabisa mlijiaminisha kwamba unauungwaji mkono wa kiasi hicho😃
Mwingine yupo busy kwenye Twitter kutoka ubeligiji kuwaambia vijana wa Rock City waingie barabarani wakati yeye anakata mauono huko kwa beberus 😃😃
 
Hizi amri zenye hila za kijinga hata akina Mandela walipewa sana na makaburu, tukawa tunamsifia Nyerere kwa kumuunga mkono Mandela na weusi wa Afrika kusini kugomea amri zisizo halali. Ni hivi, lile Katazo la mkuu wa mkoa sio halali. Hapo Mwanza mwanamuziki wa DRC Falii Ipupa, atakwenda kutumbuiza na hakuna Katazo lolote la hiyo corona, kwa hiyo mnaona sifa raia wa nchi nyingine kupata uhuru ambao watanzania wenye madai halali hawaruhusiwi kukutana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…