Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM hawataki amaniIko wazi chini ya kifungu cha 390(1)(b) cha CPA, harbeas corpus inapatikana Hivyo tumieni busara na hekima ili waletwe mahakamani kwa amri ya mahakama kuliko kuhamasisha wananchi waandamane.
Mimi kama mpenda amani nawashauri msitumie nguvu tumieni akili. Msiwaingize mkenge wananchi.
KabisaSema wewe kama mkandamiza amani,
Kwani ulifatwa nyumbani? Au waliosema kuhusu Tozo walikuwa Chadema? Kulia kwa ngoma kuna mtu kapiga.Iko wazi chini ya kifungu cha 390(1)(b) cha CPA, harbeas corpus inapatikanaHivyo tumieni busara na hekima ili waletwe mahakamani kwa amri ya mahakama kuliko kuhamasisha wananchi waandamane.
Mimi kama mpenda amani nawashauri msitumie nguvu tumieni akili. Msiwaingize mkenge wananchi.
Kwanza na mwambia mgeni detective clp karibu jukwaaniCCM hawataki amani
SawaKwanza na mwambia mgeni detective clp karibu jukwaani
Hivi mbuzi anaanzaje kupeleka kesi yao kwa fisi?je huko sii kutafuta kugeuzwa kitoweo cha fisi?Wewe utakuwa unasihi kuzimu au?? Hivi Tanzania hii unatofautisha vipi Mahakama,Samia,Polisi na CCM??
Next time usiandike kwaio. Unapunguza watu kukuchukulia serious kwenye pumba zakoNajua wapinzani hawawezi kuelewa hili lakini ndio ukweli. Kuwaacha Chadema wafanye kongamano kisha wangefanya maandamano na ingeibuka hali ambayo kila mtu angekuja kujutia. Kwaio polisi kufanya vile mi naona ni sawa, Tz kwa sasa serikali hii bado ni mpya, bado inahitaji muda kuweka mambo sawa na imeanza vizuri, mambo kama kuongezeka kwa tozo ni matokeo au muendelezo wa utawala ulopita kwenye mambo ya mapato. Wapinzani wakati mwingine inabidi wawe watulivu na wawe wanajaribu kuelewa hali halisi sio kila kitu wanashikilia
Mtaji wa CHADEMA ni jinai za kijingaNajua wapinzani hawawezi kuelewa hili lakini ndio ukweli. Kuwaacha Chadema wafanye kongamano kisha wangefanya maandamano na ingeibuka hali ambayo kila mtu angekuja kujutia. Kwaio polisi kufanya vile mi naona ni sawa, Tz kwa sasa serikali hii bado ni mpya, bado inahitaji muda kuweka mambo sawa na imeanza vizuri, mambo kama kuongezeka kwa tozo ni matokeo au muendelezo wa utawala ulopita kwenye mambo ya mapato. Wapinzani wakati mwingine inabidi wawe watulivu na wawe wanajaribu kuelewa hali halisi sio kila kitu wanashikilia
Acheni kuipa katiba majukumu yasiyo yake Africa shida sio katiba ila ni umaskini uliokithiri mno, mbona nchi yetu Ina sera nzuri na Bado hazitekelezeki pia, hata katiba hii tunaona magufuli alikuwa ana vunja katiba waziwazi na hakuna aliyekuwa ana mwambia lolote. Tanzania needs more than constitutional kututoa kwenye huu umaskini wetu, mbona south Wana katiba nzuri kweli wamebaki kuandamana na kuiba plus uhalifu na weusi umaskini wao umebaki palepaleMkuu hayo matatizo yanayogusa wananchi: tozo, afya, ajira, n.k. haitatokea yashughulikiwe kikamilifu kwa vile si katiba iliyopo wala bunge lililopo vinaweza kuibana serikali kutimiza wajibu wake kwa wananchi. Katiba iliyopo inamuweka Rais juu ya kila mhimili, taasisi na sheria. Kazi za kisiasa zimejazwa (overloaded) serikalini na maslahi mazito. Gharama ya kuendesha serikali (overheads) ni kubwa haiwiani na hali ya uchumi. Utashi na maslahi ya viongozi ndio kipaumbele. Hazina ya taifa inaweza kuchotwa na kutumika kwa kadiri Rais anavyojisikia na kuruhusu. Hata akiamua kujenga mji wake mpya hakuna wa kuhoji.
Watanzania hawawezi kuandamana hata wakinyanyaswa namna gani. Msg toka State iko clear: andamana uwe kilema au uache wategemezi/watoto wako yatima. Aidha, kila mtu anawaza jinsi atakavyotoboa kivyake. Hakuna mshikamano wala maslahi ya pamoja. Ukipata masahibu utajijua mwenyewe.
Kwa katiba hii hii, wakati wowote, mtu wa hatari anaweza si tu kushika madaraka kama ilivyotokea kwa SSH, bali hata kusuka mpango wa kukaa madarakani for good kama mwelekeo wa JPM ulivyokuwa. Kwa kifupi, kwa katiba hii, Watanzania wote hata makada, wanachama na mashabiki wa CCM, wanaishi kwa kutegemea fadhila na huruma ya Rais.
Ni Rais wa awamu ya kwanza pekee, JKN, ndio hakuwa na tamaa; alihakikisha maslahi ya wananchi yanawekwa mbele. Alikuwa dikteta kweli; alibana uhuru wa kisiasa, mawazo mbadala na habari lakini kwenye maendeleo ya watu na vita dhidi ya ufisadi, alikuwa genuine. A benevolent dictator. Alisacrifice. Kosa lake kuu (legacy) alituachia hii katiba ya hatari sana.
Sasa kama tunaamini katika kuishi kama Taifa kwa imani kwa serikali hii na kuliona suala la katiba ni kwa “maslahi ya CHADEMA” tu, so well and good. Hatutaki kujiuliza kwa nini CCM na Serikali ya SSH wameamua kulikimbia suala hilo kwa kisingizio cha kutaka “kurekebisha mambo” ambayo majuzi tu JPM alidai “ananyosha nchi”?
Katika hali ya kawaida kabisa, baada ya kashkash za JPM zilizofanya wengi wadai kwamba “nchi sasa inapumua; mama anaupiga mwingi“, ilikuwa dhahiri sana kwamba pamoja na hatua za dharura kurekebisha mambo, Mh. SSH angeamua kwa dhati kuwa analipa suala la katiba mpya priority.
Naamini wengi tunakubali kuwa majuzi tu tumetoka kuepuka hatari kubwa sana iliyotukabili kama taifa kwa kutegemea kuishi kwa huruma ya Rais anayekuwa madarakani. Hivyo ni budi sasa kuchukua hatua za dhati kuepuka kurudia hatari ile. Kama alivyofanya kwa Covid-19, Rais angeunda kamati ya kuandaa utaratibu na ratiba ya kushughulikia suala hilo badala ya kuwaachia “hotheads” wa CHADEMA.
Ni juu yetu kuuona na kukubali au kuupuuza ukweli huu. Wenye hekima wanasema: Those who cannot learn from history are doomed to repeat it. Na, Choices have consequences.
Katiba yetu Ni ya hovyooo.... Rais Ni zaidi ya Mungu..Acheni kuipa katiba majukumu yasiyo yake Africa shida sio katiba ila ni umaskini uliokithiri mno, mbona nchi yetu Ina sera nzuri na Bado hazitekelezeki pia, hata katiba hii tunaona magufuli alikuwa ana vunja katiba waziwazi na hakuna aliyekuwa ana mwambia lolote. Tanzania needs more than constitutional kututoa kwenye huu umaskini wetu, mbona south Wana katiba nzuri kweli wamebaki kuandamana na kuiba plus uhalifu na weusi umaskini wao umebaki palepale
Hongereni jeshi la police kwa kudumisha amani na usalama.View attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
====
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa Kwa UMMA
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.
Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;
1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)
Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.
Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .
Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .
====
UPDATES:
=====
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limefunga barabara ya Bwiru maarufu kona ya Bwiru jirani na ukumbi uliopangwa kufanyia kongamano la Chadema la kudai Katiba, hakuna kinachoendelea kwa sasa polisi wametanda barabara nzima wakiwa na magari na silaha za moto
Lakini hata ikiletwa haita make Tanzania heaven on earth aisee. Maendeleo ni swala mtambukaKatiba yetu Ni ya hovyooo.... Rais Ni zaidi ya Mungu..
Wapigwe tu tumechoka na upuuziHili nalo lazima liwekwe sawa. Maana sio kila kinachofanyika ndani ya ukumbi ni mkutano wa ndani wa wa chama.
Kwa mantiki hii vyama vya upinzani viwe makini kutenganisha mikutano ya hadhara inayofanyikia ndani
Nawasilisha.
Hao ni wahalifu pia
Wote wakirsto ndiyo maana wanaleta vurugu siku Eid.View attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
====
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa Kwa UMMA
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.
Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;
1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)
Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.
Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .
Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .
====
UPDATES:
=====
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limefunga barabara ya Bwiru maarufu kona ya Bwiru jirani na ukumbi uliopangwa kufanyia kongamano la Chadema la kudai Katiba, hakuna kinachoendelea kwa sasa polisi wametanda barabara nzima wakiwa na magari na silaha za moto
Wanaoleta vurugu ni Bakwata iddi ilikuwa jana.Wote wakirsto ndiyo maana wanaleta vurugu siku Eid.
Hayo mawazo yakoWote wakirsto ndiyo maana wanaleta vurugu siku Eid.