Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Anyway nimefrahi kujua ni namna ghani naweza pata pisi kali kwakutumia hii mbinu 👊
 
Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi,kanizid manake mie nina cm 160
Hana kitambo,ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Afu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Mpk hapo hata tukikushauri huwezi kutuelewa
Nenda ila mumeo asijue utakuwa single maza
Na uwe makini usije kumpelekea mumeo magonjwa shosti
 
Tunaaminiana sana.
Wewe una mbingu yako mahali...kuna siku nitaziamuru zikunyeshee peke yako binti yangu wewe
Fanya hivyo basi mkwe hakika nitakubariki hadi uzao wako inne, halafu jina la mtoa mada ni zuri sana umeliona😛
 
Mpk hapo hata tukikushauri huwezi kutuelewa
Nenda ila mumeo asijue utakuwa single maza
Na uwe makini usije kumpelekea mumeo magonjwa shosti
Hawezi jua,ye Yuko daslam,mie mwanza,atajuaje?
Na mimi ukweni wananiamini manake niko mwaminifu na straight forward,hata akisema wazazi wake watamkatalia
Zana muhimu👌
 
Bodaboda wanakula sana wake zetu mwanamke mpumbavu akipata tu stress anaenda kukitomb........kikojoleo.
 
Tangazo limekaa kisasa kabisa[emoji1787]
 
Dadii utakuwa sio muhensam nini?
Miaka 78 uhendisamu ulishaisha binti yangu...ila enzi zangu nilikimbiza balaa. Nilikuwa mtu wa kwanza kuibua pisi kali ya kizungu na kutinga nayo kijijini kwetu Ng'wadobana. Nilikuwa bonge la celebrity yaani!

Ila ndoa zenu hizi za siku hizi na hizi simu zenu hizi kwa kweli hapana. Hapa jana tu nilikuwa na kesi dogo mmoja kampiga mimba mke wa mjeda...Sasa wanapanga eti waitoe 🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…