Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi,kanizid manake mie nina cm 160
Hana kitambo,ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Afu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Mpk hapo hata tukikushauri huwezi kutuelewa
Nenda ila mumeo asijue utakuwa single maza
Na uwe makini usije kumpelekea mumeo magonjwa shosti
 
Mpk hapo hata tukikushauri huwezi kutuelewa
Nenda ila mumeo asijue utakuwa single maza
Na uwe makini usije kumpelekea mumeo magonjwa shosti
Hawezi jua,ye Yuko daslam,mie mwanza,atajuaje?
Na mimi ukweni wananiamini manake niko mwaminifu na straight forward,hata akisema wazazi wake watamkatalia
Zana muhimu👌
 
Na haya mambo ni kweli kabisa nilisahi kutana na Mdada Mmoja hivi ana umbo zuri na sura nzuri ila alikuwa anaonekana anaongea na simu kwa kufoka sana...

Kila baada ya dka 5 anaongea na simu nikamsubiria nikarusha ndoano..

Mtoto kaidaka ndoano kwenye kuongea naye kwamda mrefu nikagundua kwanza ni mlokole wa Wale mashahidi wa yehova tena Ni mwalimu wa Dini 😅😅..

Wamezinguana na Mumewe na amekubali kabisa kuwa na mimi na ana mume wake Nikawa nazidi kumpeleleza nikagundua Wanaume tuna safari ndefu ya kwenda....

Wanawake nowdeiz ukiwauzi kidgo tu wanatoa siri zote za ndani maana niliambiwa mwanaume wake si lolote wala si chchote kwenye Uwanja unaotumika kwa usingizi akamkandia kweli kweli na ni mtu mwenye heshima hapo mjini..

Ila shida moja alikuwa anamcheat sana huyo mdada na alikuwa kama anamuonea tu...

Sikufanikiwa Kutembea naye Cuz niliona ni upuuzi kumuumiza mwanaume mwenzangu Tena bahati mbaya aliponitajia nilikuwa namjua vizuri sana....
Bodaboda wanakula sana wake zetu mwanamke mpumbavu akipata tu stress anaenda kukitomb........kikojoleo.
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Tangazo limekaa kisasa kabisa[emoji1787]
 
Dadii utakuwa sio muhensam nini?
Miaka 78 uhendisamu ulishaisha binti yangu...ila enzi zangu nilikimbiza balaa. Nilikuwa mtu wa kwanza kuibua pisi kali ya kizungu na kutinga nayo kijijini kwetu Ng'wadobana. Nilikuwa bonge la celebrity yaani!

Ila ndoa zenu hizi za siku hizi na hizi simu zenu hizi kwa kweli hapana. Hapa jana tu nilikuwa na kesi dogo mmoja kampiga mimba mke wa mjeda...Sasa wanapanga eti waitoe 🚮
 
Back
Top Bottom