Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Kuna wakati wapinga ndoa akina dronedrake mi nawaelewa. Ndoa za siku hizi hazina maana. Imagine huyu ndo mke wako dah! [emoji706][emoji706]
Ndoa zimekua ni taasisi za ufuska, ndoa hazina thamani kama hapo awali, hapo awali mtu ukioa yes tunasema sasa kijana kafanya maamuzi ya busara na ya hekima na binti yetu kajiheshimisha katika jamii na familia yetu, lakini siku hizi wanaongozwa kwa ngono chafu ni wanandoa yani mtu akigombana tu na mwenzake huyoo anaenda kutafuta mchepuko... Karne hii ndiyo neno mchepuko limekua kinara na kushika akili za watu wengi hadi watoto siku hizi wanajua neno mchepuko ni nini... Tuendelee kuelimisha lakini
 
Mnakuwaga washauri wazuri mada aina hii ikiletwa na ke ila ingekuwa me😂😂😂
 
Mwanaume mmoja hatoshi tunavumiliaga tu
Mwanaume mmoja asipokutosha inawezekana umeshamkinia au ... Your thoughts already underlined those words mwanaume mmoja hatoshelezi and you will never be satisfied utarukaruka kila mahali na utampa anaetaka, kuwa mwangalifu na maneno yako bcoz your body doesn't know the difference
 

Hatubembelezagi.
Tunaongea tuu Pisikali mnababaika na kutoa namba za simu na mnachapika bila hata kuwapa sumni
 
Hawezi jua,ye Yuko daslam,mie mwanza,atajuaje?
Na mimi ukweni wananiamini manake niko mwaminifu na straight forward,hata akisema wazazi wake watamkatalia
Zana muhimu[emoji108]
Hakuna linalofichika hasa jambo la kiovu shetani anakuleta kwenye dhambi na atahakikisha inajulikana
 
Maharange ya Mbeya..
 
Pole sana, una roho ya kulipiza kisasi.
Mwanaume uliyempenda ndo amekuchange tabia, pole sana. Wengi wanakurukia kama malaya. Ila tatizo nikiongea chochote, yule Mungu asiyeonekana atanihukumu kuwa mkosa.
 
Usihisi na uka support no evidence no right to speak... Na hizo changamoto za mume wake hazijustify na kuhalalisha achepuke mna viapo mlivyokula vile viapo vya ndoa vinaishi mbinguni na duniani
 
Kuna kipande kakiruka huyo🤣🤣🤣 Haiwezekani.
Afu umeona Leo Leo anawaza aende akatoe au asitoe🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…