nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 664
- 1,050
Hii mida uliyoitaja hapa ni ya kimkakati?Kashaanza kumiminiwa uji wa moto toka saa 8 maana ndio mida ya uasherati wa kijangili hapo hadi saa 11 anatolewa na kurudishwa mitaa ya ukweni ๐คฃ
Sasa mama yao sini Mcute lazma ma homeboy watoke cream dela cream!Yani sina chemistry na wanaume hb kabisa, tatizo nimezaa vitoto hb balaa
Wewe unaongea kinyume wanawake ma cute wanazaa sura pesono fatiliaSasa mama yao sini Mcute lazma ma homeboy watoke cream dela cream!
Bas,black na hiyo miili uku ndo kwenyew[emoji2958][emoji38][emoji38][emoji38]..nimesismka alivyosema ni blak ana mwili fulani[emoji111]
Duh,we naona unataka kurudisha kizazi cha binadam kweny zama za nyani[emoji28]Sura pesono
Umenifanya nirudi home nilifikiri upo job nianze msako wa duka kwa duka๐๐๐๐ Nimecheka mchuchu
Thubutuuuu!!! ๐๐๐Mbona nasikia una kidate Mlimani city?
๐๐๐ Nyuki wa mashineniBoss joka la Mdimu ๐คฃ
Stress za maisha, anawish vitu asivyoviweza kujifariji ๐๐๐Jf watu wanafake life hatari.
Uje jtatu mchuchu, jmosi siku ya kutumbuana vichunusi ๐๐๐Umenifanya nirudi home nilifikiri upo job nianze msako wa duka kwa duka
Nikajua umetoka na Tajiri mkuu wa JF maana niliona kawaandalieni warembo mtoko kabambe.Thubutuuuu!!! ๐๐๐
Dada jf hakuna mwanaume mwenye pesa tupo na vibaka wenzetu ๐๐๐Nikajua umetoka na Tajiri mkuu wa JF maana niliona kawaandalieni warembo mtoko kabambe.
๐๐MpwaMiaka 78 uhendisamu ulishaisha binti yangu...ila enzi zangu nilikimbiza balaa. Nilikuwa mtu wa kwanza kuibua pisi kali ya kizungu na kutinga nayo kijijini kwetu Ng'wadobana. Nilikuwa bonge la celebrity yaani!
Ila ndoa zenu hizi za siku hizi na hizi simu zenu hizi kwa kweli hapana. Hapa jana tu nilikuwa na kesi dogo mmoja kampiga mimba mke wa mjeda...Sasa wanapanga eti waitoe ๐ฎ
๐๐๐NImegundua wanaume tunapendana sana.
Ukiona mwanaume anaenda kusalitiwa unasikia hasira๐๐๐๐๐
uttoh2002
Division One
Nyie sio wazima nimecheka๐๐๐Na wewe ushanyoa? Elewa swali๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ