nyanyantole
JF-Expert Member
- Jun 22, 2015
- 664
- 1,050
Mtakuja kulala na majini shenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mida uliyoitaja hapa ni ya kimkakati?Kashaanza kumiminiwa uji wa moto toka saa 8 maana ndio mida ya uasherati wa kijangili hapo hadi saa 11 anatolewa na kurudishwa mitaa ya ukweni 🤣
Sasa mama yao sini Mcute lazma ma homeboy watoke cream dela cream!Yani sina chemistry na wanaume hb kabisa, tatizo nimezaa vitoto hb balaa
Wewe unaongea kinyume wanawake ma cute wanazaa sura pesono fatiliaSasa mama yao sini Mcute lazma ma homeboy watoke cream dela cream!
Bas,black na hiyo miili uku ndo kwenyew[emoji2958][emoji38][emoji38][emoji38]..nimesismka alivyosema ni blak ana mwili fulani[emoji111]
Duh,we naona unataka kurudisha kizazi cha binadam kweny zama za nyani[emoji28]Sura pesono
Umenifanya nirudi home nilifikiri upo job nianze msako wa duka kwa duka😂😂😂😂 Nimecheka mchuchu
Thubutuuuu!!! 😂😂😂Mbona nasikia una kidate Mlimani city?
😂😂😂 Nyuki wa mashineniBoss joka la Mdimu 🤣
Stress za maisha, anawish vitu asivyoviweza kujifariji 😂😂😂Jf watu wanafake life hatari.
Uje jtatu mchuchu, jmosi siku ya kutumbuana vichunusi 😂😂😂Umenifanya nirudi home nilifikiri upo job nianze msako wa duka kwa duka
Nikajua umetoka na Tajiri mkuu wa JF maana niliona kawaandalieni warembo mtoko kabambe.Thubutuuuu!!! 😂😂😂
Dada jf hakuna mwanaume mwenye pesa tupo na vibaka wenzetu 😂😂😂Nikajua umetoka na Tajiri mkuu wa JF maana niliona kawaandalieni warembo mtoko kabambe.
😂😂MpwaMiaka 78 uhendisamu ulishaisha binti yangu...ila enzi zangu nilikimbiza balaa. Nilikuwa mtu wa kwanza kuibua pisi kali ya kizungu na kutinga nayo kijijini kwetu Ng'wadobana. Nilikuwa bonge la celebrity yaani!
Ila ndoa zenu hizi za siku hizi na hizi simu zenu hizi kwa kweli hapana. Hapa jana tu nilikuwa na kesi dogo mmoja kampiga mimba mke wa mjeda...Sasa wanapanga eti waitoe 🚮
😂😂😂NImegundua wanaume tunapendana sana.
Ukiona mwanaume anaenda kusalitiwa unasikia hasira😂😂😂😂😂
uttoh2002
Division One
Nyie sio wazima nimecheka😀😀😀Na wewe ushanyoa? Elewa swali🤣🤣🤣🤣