Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Nipo gwata hapa (kisarawe District) issue km yko mmoja tu akikupata akakukula wanaume wote tutakuita mk#nd#Buku
🤣🤣Uko kisarawe district wilaya maskin pwani
Mwalimu wa shule ya msingi lol
Jitahidi uhamie hata kibaha uwe unaishi daslam mshamba wewe
Kisarawe wanaishi kwa kula mihogo mikavu🤣🤣
 
Yes she is good ni kila mtu yeye hana noma nae, japo ni wachache tu ndio hakubaliani nao sijui damu hazijaendana nimejaribu kumwambia wapatane yaishe[emoji23]
Kuna watu wanaboa sana sometimes yaani!hapo namuunga mkono,,Kuna jitu linaweza kuharibia tu siku bila sababu
 
🤣🤣Uko kisarawe district wilaya maskin pwani
Mwalimu wa shule ya msingi lol
Jitahidi uhamie hata kibaha uwe unaishi daslam mshamba wewe
Kisarawe wanaishi kwa kula mihogo mikavu🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me hata sio mwalimu ni mwekezaji tu ila ukiliwa na hao ngosha ilo jina litakufaa akili kumkichwa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me hata sio mwalimu ni mwekezaji tu ila ukiliwa na hao ngosha ilo jina litakufaa akili kumkichwa
We ni mwalimu maskin kisarawe
Unaishi kwa mikopo ya nyonya damu
Pambana na hali yako slave👌
 
baba mkwe umempangaje kule, maana unajitungua tu mpaka unapitiliza.
Baba mkwe mstaarabu sana
Hana shida
Na Hana mambo mengi.
Nilimwambia nimepata simu ya dharura ya kikazi toka dodoma,so nitalala hukohuko kwenye kikao Cha dharura akaelewa
Saivi Niko malaika tunadance
Ntarudi home kesho kwenye saa 5 asubuh👌
 
Back
Top Bottom