Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Keshajifanya yeye ni Mkemia mkuu wa serikali!Haya akiamka anywe ya kuku wa kienyeji 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] huyo mpaka kesho tena ndio anaingia humu, Leo yupo busy sana sijui kachoka na nn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshajifanya yeye ni Mkemia mkuu wa serikali!Haya akiamka anywe ya kuku wa kienyeji 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] huyo mpaka kesho tena ndio anaingia humu, Leo yupo busy sana sijui kachoka na nn
Anakupenda kweli wewe, hilo ndio nimegundua.Kwa hiyo anampenda Kweli?
Mchana alikua na autumn harvest, jioni akagusa kidogo jagermeister, usiku akagusa Savannah. Yupo hoiKeshajifanya yeye ni Mkemia mkuu wa serikali!Haya akiamka anywe ya kuku wa kienyeji [emoji1787][emoji1787]
Shemeji mbona unamruhusu anakunywa vitu vikali hivyo?ataunguza mayai....au unataka ukuzalie kina John walker?Mchana alikua na autumn harvest, jioni akagusa kidogo jagermeister, usiku akagusa Savannah. Yupo hoi
Yupo makini sanaShemeji mbona unamruhusu anakunywa vitu vikali hivyo?ataunguza mayai....au unataka ukuzalie kina John walker?
Safi,take a good care ov her... nampendaYupo makini sana
Ana roho nzuri sana mtu mmoja very focusedSafi,take a good care ov her... nampenda
I trust u,,namuona hata avyochat na watu Kwa UpendoAna roho nzuri sana mtu mmoja very focused
Yes she is good ni kila mtu yeye hana noma nae, japo ni wachache tu ndio hakubaliani nao sijui damu hazijaendana nimejaribu kumwambia wapatane yaishe[emoji23]I trust u,,namuona hata avyochat na watu Kwa Upendo
🤣🤣Uko kisarawe district wilaya maskin pwaniNipo gwata hapa (kisarawe District) issue km yko mmoja tu akikupata akakukula wanaume wote tutakuita mk#nd#Buku
Kuna watu wanaboa sana sometimes yaani!hapo namuunga mkono,,Kuna jitu linaweza kuharibia tu siku bila sababuYes she is good ni kila mtu yeye hana noma nae, japo ni wachache tu ndio hakubaliani nao sijui damu hazijaendana nimejaribu kumwambia wapatane yaishe[emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me hata sio mwalimu ni mwekezaji tu ila ukiliwa na hao ngosha ilo jina litakufaa akili kumkichwa🤣🤣Uko kisarawe district wilaya maskin pwani
Mwalimu wa shule ya msingi lol
Jitahidi uhamie hata kibaha uwe unaishi daslam mshamba wewe
Kisarawe wanaishi kwa kula mihogo mikavu🤣🤣
Mtu unajiita hohehahe 🤣🤣utanambia nini kipepeo wa chuma?Nilijiuliza sana!
HUYU MWANAMKE ANAJIELEWA KWELI?! 🤔🤔🤔
We ni mwalimu maskin kisarawe🤣🤣🤣🤣🤣🤣 me hata sio mwalimu ni mwekezaji tu ila ukiliwa na hao ngosha ilo jina litakufaa akili kumkichwa
[emoji23][emoji23][emoji23] si ndio mnasameheana yanaisha tu.Kuna watu wanaboa sana sometimes yaani!hapo namuunga mkono,,Kuna jitu linaweza kuharibia tu siku bila sababu
Baba mkwe mstaarabu sanababa mkwe umempangaje kule, maana unajitungua tu mpaka unapitiliza.
Danganyika hivyohivyo na ID za JF 😀😀😀👍🏾Mtu unajiita hohehahe 🤣🤣utanambia nini kipepeo wa chuma?
Sawa.The Best Of All Time mungozo mzima huu hapa.... ishi hapo