Wazaramo wa Kariakoo na Magomeni.....kuanzia buguruni usithubutu🤣🤣🤣🤣 wanapenda Ngoma kuliko kulaHamna wazaramo wa siku hizi hawana hizo mambo wastaarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazaramo wa Kariakoo na Magomeni.....kuanzia buguruni usithubutu🤣🤣🤣🤣 wanapenda Ngoma kuliko kulaHamna wazaramo wa siku hizi hawana hizo mambo wastaarabu.
🤣🤣🤣 Mie ni mtetezi wa wanawake wa Jf, nilikuwa namkumbusha tu....Hatutaki aibu ndogo ndogo🤣[emoji23][emoji23][emoji23]mamy k kwenye moja na mbili. Nakukubali sana huwa hurembi
Treeeeenaaaa.....bado hujatheeemaaa mwari wangu, Hadi uthemeee🤣🤣🤣Wewe tena kungwi lao, ushavuluza mikole yote hakuna kinachokutisha!!!
Ya kus na kas wakuwachee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio shupa wakiweka bibi unawapiga na joker Oyooooooooo!!
Ha ha ha [emoji2960]
Shem mpya ongeza sauti kuna watu huku nyuma hawajasikia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Mi mwanaume mzuri wa Nini Sasa?mbona unanichanganya
Duh!...tema mate chini...Yule bwege hawezi gundua
Nimemzid akili na maarifa
Hata biashara anayomiliki mie ndo niliibuni na kumpatia sponsor,so hana command kwangu👌
Simu yako si ilikuwa na password lakin mpenzi...ukakataa kutoa password nijibip. Kumbe ulikuwa umenidondokea unakuja kunitangazia huku. Anyway kama bado upo haya maeneo tutaonana tu.Habari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Jamani mi simtaki,ni MBAHILI sana...🏃🏃
Nalimhola ntale (mkuu). Tuliho!Ulimola mkuu?
Ndio uache tabia mbaya ya ubahili😀😀
Mbele ya halaiki, ugaidi huo🏃🏃
Sasa ushawahi kuona kipepeo kina akili,kinafuata kila us,hata mengine Sumu kinanusa tuHujasoma uzi wa Ironbutterfly
🤣🤣🤣🤣Hata hao wa Kkoo wanazuga tu....ngoma ni mbele Kwa mbeleWazaramo wa Kariakoo na Magomeni.....kuanzia buguruni usithubutu🤣🤣🤣🤣 wanapenda Ngoma kuliko kula
Hahaa nimeishia hapo mkuu , naendelea kujifunzaNalimhola ntale (mkuu). Tuliho!
🤣🤣🤣🤣 Nilichana talaka sitaki ujinga, me najua kuolewa tu!!! Sijui kuachika.🤣🤣🤣🤣🤣Hataki!ila na wewe county si alikuachaga?Leo mmerudiana?hayana muongozo bhana
Mtu wake pika pakua 😂😂😂Ndio nakusikiliza ni kweli mtu wako?
🤣🤣🤣🤣 Uongo!!! kiroho kinaruka hapo kipo kwa sisy JohUnakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtu😍😂😂
😂😂😂😂 Yani kataa ndoa leo wamejichukulia ushindi mwingi, tutarajie kuzalia nyumbaniMuite dronedrake Mzee wa Tunza Kibunda chako aje atie neno
Baharia wa kike kachomoa betri😂😂😂😂 Yani kataa ndoa leo wamejichukulia ushindi mwingi, tutarajie kuzalia nyumbani
😂😂😂 Kwann lakini jamani??Huyo anakuchora, hapa anakutetea lakini pm anakazia hukumu kuwa nisigeuke nyuma