Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Huba letu tunalijua wenyewe🤣🤣🤣🤣 Yuda ni bro anakusaliti kweupe
Sisi tunataka mrudishe huba lenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Huba letu tunalijua wenyewe🤣🤣🤣🤣 Yuda ni bro anakusaliti kweupe
Sisi tunataka mrudishe huba lenu
Unamcheka shemeji yako 😂😂😂[emoji23][emoji23] haya bana
Muongo usimuamini 😂😂😂Nishawazoom mbona!
Mfyuuu!! Mbweni ya gomz? 😂😂😂Hamna, yeye yupo mbweni mm nipo kijenge juu
Shauri yakoMuongo usimuamini 😂😂😂
Eeeeeh mambo bado?Duuh wanaume hebu mezeni hayo mafundo yaliyoko kwenye makoo yenu msije mkafa kwa vihoro, aloo kwenye huu uzi mmelipuka ila bado hamjasema na mtasema tu mpaka kieleweke, kumbe ndio huwa mnaumia na mnateseka hivi basi niwape pole maana huko tuelekeako ndio kubaya zaidi safari bado ndefu ni kukaza mkanda tu
😂😂😂😂Peleke masaburi yako hukoo😂😂
😂😂😂😂Hawezi kugoma....yupo hoi taaban,kwanza Yuko wapi Leo amezima tayari Nini maana it'sa weekend
Shosti acha tu nimerud home,nakuta mwanangu mkubwa anaumwa niko hospital sasa,nitaleta mrejesho siku nyingine🙏Ironbutterfly
Tuambie wengine tunasubiri.. je ameendana kwa kazi na uzuri wake? 😆
Huyo jeuri ya kutuacha wazaramo hana!!Hamna wazaramo wa siku hizi hawana hizo mambo wastaarabu.
Hatujui kuachika sie🤣🤣🤣Huyo jeuri ya kutuacha wazaramo hana!!
Yeye arudi tushamsamehe 😂😂😂
😂😂😂😂 Nitatoa siri we hayaMchana alikua na autumn harvest, jioni akagusa kidogo jagermeister, usiku akagusa Savannah. Yupo hoi
.labda sio mimiNdio uache tabia mbaya ya ubahili
🤣🤣🤣🤣 nimecheka eti kina John walkerShemeji mbona unamruhusu anakunywa vitu vikali hivyo?ataunguza mayai....au unataka ukuzalie kina John walker?
Me too sisy 🥰🥰😘😘Safi,take a good care ov her... nampenda
❤️❤️❤️❤️❤️MengiMe too sisy 🥰🥰😘😘
Me sipatani na milupo yako tyuuu!! Mingine mibibi imegoma kuachika 🤣🤣🤣🤣Yes she is good ni kila mtu yeye hana noma nae, japo ni wachache tu ndio hakubaliani nao sijui damu hazijaendana nimejaribu kumwambia wapatane yaishe[emoji23]