Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Duuh wanaume hebu mezeni hayo mafundo yaliyoko kwenye makoo yenu msije mkafa kwa vihoro, aloo kwenye huu uzi mmelipuka ila bado hamjasema na mtasema tu yani mpaka mseme na kitaeleweka, kumbe ndio huwa mnaumia na mnateseka hivi basi niwape pole maana huko tuelekeako ndio kubaya zaidi safari bado ndefu ni kukaza mkanda tu
 
Duuh wanaume hebu mezeni hayo mafundo yaliyoko kwenye makoo yenu msije mkafa kwa vihoro, aloo kwenye huu uzi mmelipuka ila bado hamjasema na mtasema tu mpaka kieleweke, kumbe ndio huwa mnaumia na mnateseka hivi basi niwape pole maana huko tuelekeako ndio kubaya zaidi safari bado ndefu ni kukaza mkanda tu
Eeeeeh mambo bado?
 
Yes she is good ni kila mtu yeye hana noma nae, japo ni wachache tu ndio hakubaliani nao sijui damu hazijaendana nimejaribu kumwambia wapatane yaishe[emoji23]
Me sipatani na milupo yako tyuuu!! Mingine mibibi imegoma kuachika 🤣🤣🤣🤣
Na wewe zoa zoa khaaaa!!!
 
Back
Top Bottom