Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂😂 Sonona zinawasumbuaKuna watu wanaboa sana sometimes yaani!hapo namuunga mkono,,Kuna jitu linaweza kuharibia tu siku bila sababu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Sonona zinawasumbuaKuna watu wanaboa sana sometimes yaani!hapo namuunga mkono,,Kuna jitu linaweza kuharibia tu siku bila sababu
Yaani haiwezekani kuachwa hiyo tabia?.labda sio mimi
[emoji28][emoji16], wanaona wivu kwa kwenda kutoa mzigo wanatamani uwape wao miuno feni usisahau na chachandu za kutia mizuka.[emoji1787][emoji1787] wanaume wa jf mnashangaza[emoji108]
Kuna watu wananifata hadi pm kunitusi kisa hii thread lol
Mlidhani mie bikira Maria au?
Nishapenda Mimi,hivyo yaani[emoji1787]
Hee kumbe shemeji ana milupo wazee na hausemi?🤣🤣🤣Me sipatani na milupo yako tyuuu!! Mingine mibibi imegoma kuachika 🤣🤣🤣🤣
Na wewe zoa zoa khaaaa!!!
😂😂😂Treeeeenaaaa.....bado hujatheeemaaa mwari wangu, Hadi uthemeee🤣🤣🤣
Wanakuwa na makasiriko sana😂😂😂 Sonona zinawasumbua
Yaani haiwezekani kuachwa hiyo tabia?
Hii imeenda sisy 😂😂😂Sasa ushawahi kuona kipepeo kina akili,kinafuata kila us,hata mengine Sumu kinanusa tu
Anayo afu ving’ang’anizi balaa 😂😂😂Hee kumbe shemeji ana milupo wazee na hausemi?🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Emu niwache kwanzaIla mdogo wangu unavyoufuatilia huu uzi Kwa makini nukta Kwa nukta,walahi na darasani ungekuwa unafuatilia hivi Sasa hivi ungekuwa mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)🤣🤣
Kwa hiyo kelele zangu ni kazi bure?🤦Watibeli hatubadiliki. Wanaobadilika ni wale wanaoiga tabia za wengine.
Sisi tunaonyesha ule uhalisia wetu kabisa.
Mimi ni yuleyule wa jana, leo na hata Milele
Maisha magumu kitaani jua linawaka 😂😂😂Wanakuwa na makasiriko sana
Hupendi ujinga!🤣😂😂😂😂 Emu niwache kwanza
Hee hao nao vipi!hawajui kila zama na nabii wake?Anayo afu ving’ang’anizi balaa 😂😂😂
Inatuma mpk wanaume wapuuzi watugombanishe ili arudi kwao, sema mzaramo nimekaza haibiwi mtu!!
Nitawapa nikimchoka na sijui mwaka gani?🤣🤣🤣
Kwa hiyo kelele zangu ni kazi bure?🤦
😂😂😂😂 Kipepeo kanusa ua la Ngosha, katuachia hekahekaBaharia wa kike kachomoa betri
Hajui maua mengine Sumu,,,,🤣😂😂😂😂 Kipepeo kanusa ua la Ngosha, katuachia hekaheka
😂😂😂 muongo, ko uku anatuchamba pembeni anapiga simu?Kasema wewe unanisagia sana kunguni huko pm🤣Hiyo ndoa yenyewe itadumu Sasa?kila saa simu ananipigia