Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

😊😊
Kazi bure kweli.
Kwa sababu pesa yangu hata kama ni ndogo inatumiwa na Watu waliowangu, ikiwemo Mwanamke ninayempenda ambaye sharti awe anaishi na mimi au nimemuoa.
Daah!yaani ulivyokaza fuvu wewe!🤦🤦🤣🤣🤣
 
Unaweza weka hata shemdarling itanoga😁😁😁😁Jana sijakuona kabisa jamvini,ndio sabbath?
Hemdarling haina mashiko, tuamue moja kieleweke🤣🤣 jana nilikuwa na kasafari na hekaheka za kutosha sikuingia sana.
 
Maana ule mnuno ulikuwa kiboka,Bora wangu hata anaongea kidogo🤣🤣
😂😂😂 Alivyoona nimeanza kumove on afu kuna baharia ananinyapia weee!! Akarudi kwa speed na mahaba moto moto!!!
Kantry akili zake anazijua mwenyewe bangi anazovuta sio za Nchi hii
 
Hemdarling haina mashiko, tuamue moja kieleweke🤣🤣 jana nilikuwa na kasafari na hekaheka za kutosha sikuingia sana.
Iwe tu darling Moja Kwa Moja au sio?🤣🤣🤣.......Ndio maana uliadimika
 
😂😂😂 Alivyoona nimeanza kumove on afu kuna baharia ananinyapia weee!! Akarudi kwa speed na mahaba moto moto!!!
Kantry akili zake anazijua mwenyewe bangi anazovuta sio za Nchi hii
Bangi zake za mkoani kwao
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
nyege mbaya sana
 
Kama umeolewa hapo ulikosea,ungezaa tu halafu uishi singosingo yaani uwe singo madha.Ungeinjoi sana,full kupishanisha madogo,mababa,wazee n.k nyumbani kwako.Wadada au wamama wa hivi,wanafaa sana,ile mtumishi katoka zake kijijini huko,badala akalale loji,anakuja kwako,anakula wewe na msosi,asubuhi anaenda kwenye mishe zilizomleta mjini,akimaliza anasepa.Wanawake wa hivi mnafaa sana,hata watoto wa kiume wanaobalehe inafaa wawe wanawatafuta wanawake kama nyie,wanajifunza kupeleka moto,halafu wanaenda kuoa wanawake wa aina nyingine,yaani wa ndoa.
Safi kabisa mkuu, hovyo kabisa mtu kaolewa tena bila aibu anaanzisha uzi kumsifia mwanaume mwingine mpaka kufika kutaka kulala naye hilifaa kabisa aishi kama ulivyosema[emoji817]
 
Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi, kanizidi manake mie nina cm 160
Hana kitambo, ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Halafu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Kampe na dai talaka uolewe nae
 
🤣🤣🤣Tatizo wambea wameshatega vizuri mitambo Yao Ili wakachapishe gazeti,,Sasa hapo hawaelewi elewi
Nami nilitaka kusema the same, tukubaliane kukutana na upinzani wa Hamas🤣🤣
 
Hee hao nao vipi!hawajui kila zama na nabii wake?
Sijui aliwapa nini? 🤣🤣🤣
We waache siku nilewe niwawashie Mwenge
Me siibiwi kizembe, Kantry hapa kafika uko kwao alikuwa anapiga tizi, mechi inachezeka hapa 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Back
Top Bottom