Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza kuna watu kama malaika sio wakaka tu hata wadadaz kuna pisi za kwenda tako kubwa Afrika mashariki na kati niliona Mwanza, sijasahau bado yule dada hata kuchamba hawezi nina uhakika
Kwani kuwa na tako ni uzuri?
 
Kwani kuwa na tako ni uzuri?
Mantiki iko hivi kanda hiyo kuna watu wenye muonekano wa kupitiliza km ni mbaya huko naamini mwenye sura mbaya zaidi atakuwepo weusi tiii wapo kanda hiyo urefu nk mi ndo nikatolea mfano wa hilo tako nililoona
 
Mwanza kuna watu kama malaika sio wakaka tu hata wadadaz kuna pisi za kwenda tako kubwa Afrika mashariki na kati niliona Mwanza, sijasahau bado yule dada hata kuchamba hawezi nina uhakika
🤣 🤣 🤣 🤣. Mwanza kuna pisi. Nyingi ni damu ya Kagame, Wahangaza, wahima na nyantuzu.
 
Back
Top Bottom