Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Alikuita kwa kujiamini coz alishakuona kua wewe ni cheap na unakamatika kirahisi tu,ungekua umejiweka kiheshima asingekuita hivyo,unaitwa na mtu yupo bandani anakula ugali na mboga kisha unajipeleka kama Mbwa kaona chatu,

Eti nikamkatalia kumpa namba akachukua simu akajibipu!!
Wanawake wajinga sana
 
Sasa uduguu picha ya HB iko wapiiii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom