Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
😂😂😂 kanusa lenye magnet na yeye kipepeo cha chumaHajui maua mengine Sumu,,,,🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 kanusa lenye magnet na yeye kipepeo cha chumaHajui maua mengine Sumu,,,,🤣
Countrywide umempa Nini mdogo wangu?Sijui aliwapa nini? 🤣🤣🤣
We waache siku nilewe niwawashie Mwenge
Me siibiwi kizembe, Kantry hapa kafika uko kwao alikuwa anapiga tizi, mechi inachezeka hapa 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Dadadeki!akanaswa😂😂😂 kanusa lenye magnet na yeye kipepeo cha chuma
Upo tayari?🤣Na sisi itabidi tuandae mabomu kama ya Netanyahu!😁😁
🤣🤣Mbona kama muoga muoga wewe?Upo tayari?🤣
NAKAZIATunza Kibunda chako
Ila mtibeli kamuumiza sana bro 😂😂😂Wivu unamsumbua😁😁
Acha kuniteta ,nauguza mwanangu😂😂😂 kanusa lenye magnet na yeye kipepeo cha chuma
😂😂😂 Subiri aje aseme mwenyeweCountrywide umempa Nini mdogo wangu?
Sitaki kesho unigeuke, manake hukawii !!🤣🤣🤣🤣Mbona kama muoga muoga wewe?
Pole shosti unauguza tena?Acha kuniteta ,nauguza mwanangu
Uwe na huruma basi
Jpil Leo siku ya ibada
Ila mie nimeamkia hospital kuuguza🙏
😂😂😂 anauguza kwanza shogare yetuDadadeki!akanaswa
Wazee wa kataa, ndoa karibuniHabari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
🤣🤣🤣🤣Mimi Niko huru Sasa,we nipange kama vipi tumalizie uzee pamojaSitaki kesho unigeuke, manake hukawii !!🤣🤣
Shosti acha tu nimerud home,nakuta mwanangu mkubwa anaumwa niko hospital sasa,nitaleta mrejesho siku nyingine🙏
Hii imekaa vizuri🤣 nasubiri tu tuanze kupopolewa na wale wapenzi wako wa zamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi Niko huru Sasa,we nipange kama vipi tumalizie uzee pamoja
Picha yake hauna ili tumjadili?Habari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?