RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Ni upotoshwaji mkubwa sana.Huu nao ni upotoshaji wa kiwango cha juu.. Acha kuendekeza ngono mshahara wake utakugharimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upotoshwaji mkubwa sana.Huu nao ni upotoshaji wa kiwango cha juu.. Acha kuendekeza ngono mshahara wake utakugharimu.
Sijaendekeza ngono, ila ngono ipo na utake usitake tutafanya tu, iwe kwenye ndoa au nje ya ndoa. Its an oldest business you know!!Huu nao ni upotoshaji wa kiwango cha juu.. Acha kuendekeza ngono mshahara wake utakugharimu.
Hamna naenda kutest mitambo badae,kuonja kidogo siyo dhambi
Hapa nawaza natakaje nyumbani leo bila watoto.
Hii taarifa umeitoa wapi mkuu? Nianze kucheka.Imagine kuna wajinga wamemfata hadi pm kumtukana[emoji1787][emoji1787]
Kila siku tunawaambia humu ukiwa serious sana utakufa kwa presha
Ukweni sio lazima kuwe na ndoa, kama tu wamezaa na huyo mwamba, tayari wale ni wakwe.Mbona anasema anatoka ukweni?
Ahhh huyo ni kweliZamani kwenye nyuzi. Kuna boyfriend wako wa high school mlipendana sana , ukasikia ameoa, ila akija kwenye mkoa wako, akikupigia simu , unaenda lodge, mnapasha viporo. Labda kama kuna iron butterfly wawili humu.
Mke wa mtu kujiraisi namna hiyo ushamba namba kugawa kizembe uroda sindio shimbilo moja tuHabari za asubuh Wana ukumbi
Mweh mweh mweh Nimeingia Mwanza juzi kikazi Nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri bwiru hapo kwa matajiri(kwa wakwe zangu)
Nikaishia atm nitoe kasalio afu nipande boda nimfate shule twende home,wakati naifata atm nikapita Sehemu jirani na mama ntilie mmoja,nikapiga jicho,nikamwona kijana shababi anakula ugali mbogamboga,aliponiona,akaniita we sista njoo,nikamwambia eeh akanambia njoo,nikasema haya👌
Nikaenda akanambia waitwa nani? nikamjibu siongeagi na waume za watu,akanambia mi bachelor,nikamjibu ok ila mie siko singo,akasema usijal,waenda wapi?nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani ndo nimedondoka nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako,nikamwambia sitoi no kwa strangers,akachukua cmu yangu akajibip,akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba,lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu,nikamfikisha home,nafika tu nasalimiana na baba mkwe,jamaa anapiga,nikaomba udhuru nikatoka nje,then nikapokea cmu yake,akanambia ushampokea mtoto,nikamjibu Yap na Niko home,akanambia kamilisha ratiba afu unambia,akakata cmu.
Sikumtafuta manake Niko ukweni kapigaa weeh sijapokea Ila nimemwelewa,kumbe Kuna wasuk.uma mahandsome lol🤣
Sema kutoka kipengele manake Niko ukweni,natamani kukipambazuka nitunge Safari nionane naye,anaonekana mtamu kwa bed
Au nitakuwa nazingua Wana ukumbi?
Mungu fundi aiseeeehhh believe me wazinzi huwa wanaishiaga pabaya na malipo yao ni ya hapa hapa duniani,Huyu soon mume wake atamdaka na kuwa single mom. Ni suala la muda tu.
Na kama mume wake hacheat kabisa, Mungu ana namna ya kutengeneza kisa za kudakwa.
Duh anafanana na mm walah,Black flan wa kuteleza
Mrefu kiasi,kanizid manake mie nina cm 160
Hana kitambo,ana mwili wa mazoezi
Ana vindevu kiasi
Hana kovu lolote usoni
Afu muda wote ana tabasamu
Na anaongea kwa kujiamini
Hapana , najiheshimu, Sasa mtu ameolewa, kwanini nimvunjie heshima yake? Kwanini niharibu malezi ya watoto huko mbeleni kisa tamaa za mwili?Ahhh huyo ni kweli
Huwa tukikutana tnapasha kiporo
We hujawahi pasha kiporo?
Kuna comment kaiweka mwenyewe hapo juu juu angalia, au ni wewe? Maana umeukomalia huu uzi tangu usiku [emoji851]Hii taarifa umeitoa wapi mkuu? Nianze kucheka.
Hamna bhana Uzi huu nimeiona asubuhi hii.Kuna comment kaiweka mwenyewe hapo juu juu angalia, au ni wewe? Maana umeukomalia huu uzi tangu usiku [emoji851]
Nimeona ni uchafu ila ni tabia na mazoea huwezi mbadilisha mtu aliengia kwenye hulka zake kutimiza haja zake ni Mungu mwenyewe ambadilisheMuheshimu mumeo, why cheating on him tena ukiwa ukweni mmh?
Kwa kweli wanaishiaga pabaya sana. Alafu wanasema sio dhambi.Mungu fundi aiseeeehhh believe me wazinzi huwa wanaishiaga pabaya na malipo yao ni ya hapa hapa duniani,
Siyo story nduguNimeanza kuamini ndoa ni Utapeli, ila navomjua Mungu, kama Hii stori si ya kutunga, atadakwa soon ili iwe fundisho kwa wote.
Yeah demu anapasha kiporo na ex wake, ni tabia tayari, na kama kuna mwanaume aliyemuoa, aisee namuonea huruma sana.Nimeona ni uchafu ila ni tabia na mazoea huwezi mbadilisha mtu aliengia kwenye hulka zake kutimiza haja zake ni Mungu mwenyewe ambadilishe
Wanyooshe wanyooke napenda unavyojibu slow bila panic, ingekua mwenzao wangempa mbinu zote hadi style za kufanya.Ahhh huyo ni kweli
Huwa tukikutana tnapasha kiporo
We hujawahi pasha kiporo?
Wanajifariji tu na jamii haikosi watu wa hiviKwa kweli wanaishiaga pabaya sana. Alafu wanasema sio dhambi.