Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Ngoja upwiru umuishe atamuita my sweetheart husband unajua nakupendaga wewe hakunaga [emoji1787][emoji1787]wanawake bana they are talkative wana matusi yote unayoyajua na usiyoyajua ndiyo defensive mechanism zao
Utajuaje huyo mumewe labda Yuko kwenye kifua cha mtu huko? Huwa naamini "in every action there is equal or opposite reaction".
Ukijitunza mume, mkeo atalindwa katika kivuli cha Mungu.
 
Picha linaanza we unajipitia zako, jamaa anakula ugali... halafu akakuita "We sista njoo!"

Umeitwa kama mfungwa au wale wadada wauza mihogo, karanga mbichi na nazi kwenye mabeseni huku Dar... Haya ukaenda kufika anakusemesha kama polisi eti...

"Unaenda wapi?! Unaitwa nani?! Unaenda kumuona mtoto?! Hujakaa sawa... "nipe namba yako" ukajionesha wazi wewe ni mdhaifu kwa majibu yako uliyoyaandika hapo juu, jamaa akachukua simu yako akajibipu... yaan mtu anachukua simu yako dahh! Ndomana mnaporwaga mnabaki kulia kama ndama! Simu ni privacy ya mtu, jamaa kadiriki kukupora na kuandika namba yake... sijui tangu mwanzo ume-notice mambo ngapi hapa 😊😊😊

Kufika anakupigia masimu na kukuuliza mavitu kama wewe ni mkewe au tayari kashakukojolea vya kutosha! Bado anaendelea kupiga masimu na unaona mtu hapokei, huwezi jua yuko mazingira gani, au yuko na nani na anafanya nini...

Hakuna ulicho-notice bado unaombwa meeting na stranger usiyemjua kutoka mkoa mwingine uko na mawazo ya kutoroka ukaonane nae. Anyways! Kwa harakaharaka nime-note yafuatayo:-

1. UNA NYEGE

2. HUJIELEWI NA THAMANI YAKO HUIJUI

3. NI RAHISI KUTAWALIWA NA KUTESEKA AU KUTESWA NA MWANAUME

4. UNAAMINI WATU KIURAHISI SANA!

5. UNAFIKIRI KWA MITA MOJA.
 
Mwanaume mmoja asipokutosha inawezekana umeshamkinia au ... Your thoughts already underlined those words mwanaume mmoja hatoshelezi and you will never be satisfied utarukaruka kila mahali na utampa anaetaka, kuwa mwangalifu na maneno yako bcoz your body doesn't know the difference
Haya mahubiri mkawahubirie na wake zenu, chefuuu
 
Utajuaje huyo mumewe labda Yuko kwenye kifua cha mtu huko? Huwa naamini "in every action there is equal or opposite reaction".
Ukijitunza mume, mkeo atalindwa katika kivuli cha Mungu.
Wapo wanaume wanajitunza na wanawake wanawasaliti, hapo unasemaje?
 
Hapana mimi siku zote napinga sana hizi harakati za upotoshaji hata wakina drake mimi naona bado tunayo nafasi yakusema ndoa ni sehemu sahihi, ndoa ina utukufu, ndoa ni mpango wa Mungu, ndoa sio hatua ndogo kimitazamo ya kawaida bali ni kubwa sana na mnatakiwa mjikane nafsi zenu mkitaka ndoa, maana shetani anapinga ndoa na anawachapa wanandoa sana msipoomba mtaingia majaribuni sana... Mkinifuata mnatakiwa mjikane nafsi zenu kauli nzito sana hiyo ila inabebwa kwa wepesi
Watakatifu wa watakatifu,😂😂 acheni tuipe kitu roho inapenda
 
Utajuaje huyo mumewe labda Yuko kwenye kifua cha mtu huko? Huwa naamini "in every action there is equal or opposite reaction".
Ukijitunza mume, mkeo atalindwa katika kivuli cha Mungu.
You and me we dont have any cruel hao watu wanapitia yapi, siajabu ukichimba sana ukajua unaweza shangaa mwanamke ndiyo anatoka sana nje ya ndoa wewe, sasa hatujui ya kwao ila sisi tunapamba na Ironbutterfly ambaye sasa tupo nae hapa kuwa hilo analotaka kufanya sio sahihi, wewe unaona ni sahihi? ... Shida wanawake huwa mnapenda kuhisi vitu visivyo na ukweli mfano mume akichelewa kutoka kazini utaanza kuwaza ana mwanamke ameenda kumla sasa ubongo unahisi hisi tu sasa hizo fikra hasi kwanini usimuwaziee mumeo chanya
 
Habari za asubuh wana ukumbi,

Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishiri Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).

Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya[emoji108].

Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijal, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.

Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua cmu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.

Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambia, akakata simu.

Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.[emoji1787]

Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Wanaume tuombe Mungu tusije tukaoa Malaya
Hii ni shida unachapiwa hadi kwa wazazi wako.
 
Kama haucheat amini uko salama, na akicheat...Mungu Kwa njia zake atakufunulia....niamini Mimi.
Una evidence yeyote? Ili nianze kuamini. Maana hii stori imeniwazisha kinyama. Alafu mi sinaga mpango wa kusearch simu yake wala kumfatilia.

Alafu sina mpango wa kumcheat kabisa.
 
Back
Top Bottom