Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Watanizika nakwambiaMwambie kuwa wewe na sura personal dam dam 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanizika nakwambiaMwambie kuwa wewe na sura personal dam dam 🤣🤣🤣
Ewaaaaaah,,kwani Sadaka wanaulizaga imetoka wapi?Hahahah alimradi matatizo yatatuliwe tu
Boss joka la Mdimu 🤣😂😂😂 Embu niwacheeeee kwanza
Kujikoki kote kule nishaandaa na drip afu boss michosho
Vipi ile Familia ilifanikiwa kukutolea mahali?Habari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Atatepeta hatariKashaanza kumiminiwa uji wa moto toka saa 8 maana ndio mida ya uasherati wa kijangili hapo hadi saa 11 anatolewa na kurudishwa mitaa ya ukweni 🤣
Mimi nakukubali sana shem kama shem,ndugu yetu kakuchora tatoo.....na tatooo .....Nakutakia upate mipesa mingi maana huyo bibie anapenda pesa kama kazaliwa benkiNashukuru kwa kunipa moyo huenda mambo yakawa mazuri kweli huko mbeleni, lakini as of now hali yangu kiuchumi ni mbaya. Mikeka leo ikichanika sijui itakuaje
Atakua ndio anajiandaa, maana naona yupo busy sana
Akirudi jicho nyanya, milavu bite ndio itamuumbua kama ni pisi nyeupeAtatepeta hatari
Mtandio utahusika na ataingia na kagizaAkirudi jicho nyanya, milavu bite ndio itamuumbua kama ni pisi nyeupe
Eeeh namna hiyo bwana. Tunaishi mara moja tu🤣🤣Uzuri wa mleta uzi hata hajali kelele za chura, na kwa kimya hiki atakuwa anapelekewa moto juu ya moto, alipo huko anatukana kizungu😂
Jf watu wanafake life hatari.Kwa pesa gani alizonazo? Yeye mwenyewe anaogopa 😂😂
Masaa matatu amekunywa Viagra ama? Hata Viagra haifanyi hiyo kazi.Kashaanza kumiminiwa uji wa moto toka saa 8 maana ndio mida ya uasherati wa kijangili hapo hadi saa 11 anatolewa na kurudishwa mitaa ya ukweni 🤣
Watu waache mtoto wa watu aliwe aliwe tenaEeeh namna hiyo bwana. Tunaishi mara moja tu🤣🤣
😀😀😀😀😀Mtandio utahusika na ataingia na kagiza
No filtersWatanizika nakwambia
Unapapatika na nani madam[emoji50]Aliyekwambia napapatika na mahandsome ni nani??
Yani sina chemistry na wanaume hb kabisa, tatizo nimezaa vitoto hb balaaNo filters
Sura pesonoUnapapatika na nani madam[emoji50]