Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mwanza: Nimekutana na handsome balaa

Mkeo mbea na mzushi sana ananisingizia kila wakati😂
Msamehe mwenzio kagoma kula anataka kufa kwaajiri yako 😂😂😂😂
Nishamfuma na sumu ya panya mara mbili, anataka kujiua kisa wewe
 
Nipo gwata hapa (kisarawe District) issue km yko mmoja tu akikupata akakukula wanaume wote tutakuita mk#nd#Buku
 
😂😂😂 Usiteme big g kwa karanga za kuonjeshwa!!
Bff Missy Gf muachie mume mwenzio atajiua huku 🤣🤣🤣
Unakosea, mapenzi ni hisia ya mtu usinilazimishe ukifanikiwa kumshawishi Missy Gf yaani mama Elusha wangu akaniacha, natafuta pisi nyingine kali zaidi.
Pm nina request kama 25 na qote waamenotumia picha zao lkn nimewaambia mimi mme wa mtu😍😂😂
 
Alikuita kwa kujiamini coz alishakuona kua wewe ni cheap na unakamatika kirahisi tu,ungekua umejiweka kiheshima asingekuita hivyo,unaitwa na mtu yupo bandani anakula ugali na mboga kisha unajipeleka kama Mbwa kaona chatu,

Eti nikamkatalia kumpa namba akachukua simu akajibipu!!
Nilijiuliza sana!

HUYU MWANAMKE ANAJIELEWA KWELI?! 🤔🤔🤔
 
Kama umeolewa hapo ulikosea,ungezaa tu halafu uishi singosingo yaani uwe singo madha.Ungeinjoi sana,full kupishanisha madogo,mababa,wazee n.k nyumbani kwako.Wadada au wamama wa hivi,wanafaa sana,ile mtumishi katoka zake kijijini huko,badala akalale loji,anakuja kwako,anakula wewe na msosi,asubuhi anaenda kwenye mishe zilizomleta mjini,akimaliza anasepa.Wanawake wa hivi mnafaa sana,hata watoto wa kiume wanaobalehe inafaa wawe wanawatafuta wanawake kama nyie,wanajifunza kupeleka moto,halafu wanaenda kuoa wanawake wa aina nyingine,yaani wa ndoa.
Wazo zuri!

Tusingekuwa na watoto wapiga nyeto, kama wangekuwa wanapata uzoefu tangu wadogo kwa Wamama wasiojielewa namna hii
 
Thanks mi pia nakukubali, kusema ukweli huyu pesa wala hapendi sana ni maneno tu. Ila anajua sana kuzitafuta pesa na pesa zinamfata kweli. She's very bright
Kwa hiyo hapa anavyohubiri mwanaume lazima akuhonge kumbe anapotosha tu UMMA?ama Kweli za kuambiwa changanya na zako
 
Back
Top Bottom