Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Nishawazoom mbona!Unapoozwa tu huku jamaa wanacheeeka na mkewe huku wakinywa wine😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishawazoom mbona!Unapoozwa tu huku jamaa wanacheeeka na mkewe huku wakinywa wine😂😂😂
Connection ipi tena? Mm nabet tu, labda nimpe odds za keshoMpe connection [emoji16][emoji16]
Yes ukipata nafasi ya kumfanyia makubwa umpendaye mfanyie tu
Hilo la muhimu sana mkuu, ukimpa furaha mpenzi wako, hiyo furaha itakurudiaYes ukipata nafasi ya kumfanyia makubwa umpendaye mfanyie tu
🤣🤣🤣🤣🤣Dah,We si ndio ulikuwa unasema hakuna kabila unalipenda kama wazaramo?Leo unalidharau?Akili za kuambiwa changanya na za kuzaliwa, honey umwtokea Ukanda wa watu wenye akilo mingi, mzaramo asikusumbue, kula vitu mpenzi😍😍
Hamna, yeye yupo mbweni mm nipo kijenge juuNishawazoom mbona!
Unadanganywa sana, huyo ameapa kukuharibia, unakubali kushindwa kizembe baby?Kumbe Kuna atoto nilikuwa sijui 😅😅😅😅
Woi hivi home nitaanzaje kuwaambia niko na Mzaro?🤣🤣🤣🤣🤣Dah,We si ndio ulikuwa unasema hakuna kabila unalipenda kama wazaramo?Leo unalidharau?
🤣🤣🤣🤣🤣sawa,mweke ndani kwanza tuone Huo uhalaliNikomuweka ndani sio tu range, kila kitu kitakuwa chake kihalali hadi mimi
Yes hili na mimi naamini na naishi naloHilo la muhimu sana mkuu, ukimpa furaha mpenzi wako, hiyo furaha itakurudia
Kwani mzaramo ana mapembe?Woi hivi home nitaanzaje kuwaambia niko na Mzaro?
Nyie bado mnapendana, itakua mmeshindana sehemu ndogo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa,mweke ndani kwanza tuone Huo uhalali
Hakika, najiandaa nimljengee nyumba yenye one storey hapa sakina....silent kwa juuYes hili na mimi naamini na naishi nalo
Hiyo hiyo,hata ya udalali wa mananasi mkuu🤣🤣Connection ipi tena? Mm nabet tu, labda nimpe odds za kesho
Ukioa mzaramo kila weekend mtazipiga, kwani mzaromo hutoka home Ijumaa na kurudi j3, tatizo ngoma na mafiga 3Kwani mzaramo ana mapembe?
Yes fanya hivyo maisha ndio haya hayaHakika, najiandaa nimljengee nyumba yenye one storey hapa sakina....silent kwa juu