Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Safi sana shemeji,nitunzie Mkinga mzaramo wangu Hana bayaYes hili na mimi naamini na naishi nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana shemeji,nitunzie Mkinga mzaramo wangu Hana bayaYes hili na mimi naamini na naishi nalo
Peleke masaburi yako hukoo😂😂Hiyo hiyo,hata ya udalali wa mananasi mkuu🤣🤣
Unamwamini?anampanga tu mtoto wa watu🤣sio wivu lknYes fanya hivyo maisha ndio haya haya
Fresh akitaka kesho asubuhi mapema tu natuma mkeka wa uhakika, odds 200Hiyo hiyo,hata ya udalali wa mananasi mkuu[emoji1787][emoji1787]
Utaishia kupepea mapenzi ya wengine😂😂😂Safi sana shemeji,nitunzie Mkinga mzaramo wangu Hana baya
Acha tamaa na umalaya vitakuponza. Handsome aliyekuoa anakutosha kama hatoshi achaneni umfuate huyo handsome uone mtakavyonukishana mavi harakaHabari za asubuh wana ukumbi,
Mweh mweh mweh, nimeingia Mwanza juzi kikazi nikatimiza majukumu yangu. Nilipomaliza nikasema nikamwone kijana wangu anaishi Bwiru hapo kwa matajiri (kwa wakwe zangu).
Nikaishia ATM nitoe kasalio halafu nipande boda nimfate shule twende home, wakati naifata ATM nikapita sehemu jirani na mama ntilie mmoja, nikapiga jicho, nikamwona kijana shababi anakula ugali-mbogamboga, aliponiona akaniita we sista njoo, nikamwambia eeh, akanambia njoo, nikasema haya👌.
Nikaenda akanambia waitwa nani? Nikamjibu siongeagi na waume za watu, akanambia mi bachelor, nikamjibu ok ila mie siko singo, akasema usijali, waenda wapi? Nikamjibu namfata mtoto hapo shule niende naye nyumbani, ndio nimedondoka Nyegezi hapo.
Akasema ok nipe no yako, nikamwambia sitoi no kwa strangers, akachukua simu yangu akajibip, akanambia baada ya lisaa ntakuchek mchumba! Lol nikacheka nikaondoka zangu kuendelea na ratiba.
Nikampokea mwanangu, nikamfikisha home, nafika tu nasalimiana na baba mkwe, jamaa anapiga, nikaomba udhuru nikatoka nje, then nikapokea simu yake, akanambia ushampokea mtoto, nikamjibu yap na niko home, akanambia kamilisha ratiba afu unambie, akakata simu.
Sikumtafuta maana niko ukweni, kapigaa weeh sijapokea ila nimemwelewa, kumbe kuna Wasukuma mahandsome lol.🤣
Sema kutoka kipengele maana niko ukweni, natamani kukipambazuka nitunge safari nionane naye, anaonekana mtamu kwa bed au nitakuwa nazingua wana ukumbi?
Tatizo huyu amenizidi, mm mwenyewe vingi namtegemea yeyeSafi sana shemeji,nitunzie Mkinga mzaramo wangu Hana baya
🤣🤣🤣Penzi langu naamini halijakata roho japo lipo ICU,au limeshafariki?Utaishia kupepea mapenzi ya wengine😂😂😂
Ngoja nikupe siri huwa tukipenda tunafanya lolote, naamini anaweza kufanya hivyo as long as amependa kweliUnamwamini?anampanga tu mtoto wa watu[emoji1787]sio wivu lkn
Kanikata,kisa mama ElishaNyie bado mnapendana, itakua mmeshindana sehemu ndogo sana
Kwani hata kapenda Kweli basi?miyayusho tu huyoNgoja nikupe siri huwa tukipenda tunafanya lolote, naamini anaweza kufanya hivyo as long as amependa kweli
Eeeeeh hiyo hiyo🤣Sio range ni fortuner 🤣
Hawezi kugoma....yupo hoi taaban,kwanza Yuko wapi Leo amezima tayari Nini maana it'sa weekendTatizo huyu amenizidi, mm mwenyewe vingi namtegemea yeye
Siku akigoma sijui itakuwaje
Hamna bado mnapendana, mkae chini myajenge[emoji23]Kanikata,kisa mama Elisha
Ukisoma between the lines Kuna kitu bado kinamtatiza, hiyo ni ishara ya mapenzi ya kweliKwani hata kapenda Kweli basi?miyayusho tu huyo
Hamna wazaramo wa siku hizi hawana hizo mambo wastaarabu.Ukioa mzaramo kila weekend mtazipiga, kwani mzaromo hutoka home Ijumaa na kurudi j3, tatizo ngoma na mafiga 3
[emoji23][emoji23][emoji23] huyo mpaka kesho tena ndio anaingia humu, Leo yupo busy sana sijui kachoka na nnHawezi kugoma....yupo hoi taaban,kwanza Yuko wapi Leo amezima tayari Nini maana it'sa weekend
Kwa hiyo anampenda Kweli?Ukisoma between the lines Kuna kitu bado kinamtatiza, hiyo ni ishara ya mapenzi ya kweli