Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Hilo sio tatizo letu, ni tatizo la wenye mamlaka wanayaogopa hayo makanisa, Sisi kama wananchi tunataka kelele ziishe ziwe za makanisa, bar, mashine, bodaboda, wale vijana wa hovyo wa alteza na subaru etc 🤣

Serikali iache double standards, wamefungiwa walipa kodi, hao wezi wa sadaka wanaachwa kwanini!

Bora waambiwe kelele zisizidi masaa ma3 kwa siku, tena mchana.
Mjini lazima kuwe na heka heka mojawapo ni hayo Makelele. Msitulazimishie kuishi kinyonge nyonge. Mbona hata hayo makanisa na misikiti yenu nayo Yana Makelele ambayo wengine yanatukera?
 
Wapumbavu Kwa lipi? Ukishatoa kibali Kwa watu kufanya biashara ya baa uwaache wafanye biashara Kwa matakwa ya biashara hiyo. Wateja wanainjoi na kunywa zaidi wakisikia makele. Acheni hizo nyie wanywa juice.
Acha kukariri wewe kwamba wanywaji wote wa alcohol wanapenda makelele.
Wewe utakuwa goloko flani,
Makele sio mazuri Kwa afya yako
Hao wenye mabar wanaopenda kupiga muziki Kwa sauti ya juu waweke sound proof
Miziki vingine mikubwa hadi unajiuliza wanaoishi Jirani na hapo wanaishije?
 
Naishi Nyasaka centre mziki Bundesliga ukipigwa utafikiri spika ipo dirishani
 
Acha kukariri wewe kwamba wanywaji wote wa alcohol wanapenda makelele.
Wewe utakuwa goloko flani,
Makele sio mazuri Kwa afya yako
Hao wenye mabar wanaopenda kupiga muziki Kwa sauti ya juu waweke sound proof
Miziki vingine mikubwa hadi unajiuliza wanaoishi Jirani na hapo wanaishije?
Niache kukariri? Shauri yako na Kwa vile wafungiaji Wala hawakuwa na sababu za msingi imebidi waufyate. Sasa hivi mambo kama Kawa, hutaki mziki acha.
 
Back
Top Bottom