Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Mwanza: Wamiliki wa baa na kumbi za starehe waandamana kuelekea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Tatueni hoja zao,unamshambulia Musukuma binafsi kwani kuna maandamano au madai yasio na kinara na waratibu,

Mwambie Makala wamtafutie eneo lingine,Mwanza hatumtaki
 
Kwa nini wanaondamana ni wamiliki na si wateja? Wateja wakiandamana inaleta mantiki tofauti na kwa wamiliki wanaoshindana wao kwa wao kwa kupiga kelele..
 
Nchi hii aisee! Hivi wateja hawaji bila kelele? Miundombinu ya kuzuia kelele ni bei gani? Wanataka haki ya kupiga kelele au Kufanya biashara.

Labda tuwaulize walevi na washinda baa, bia hazishuki bila kelele? Vipi kuhusu lounges ambazo watu wanaenda kuhang’ na hakunaga makelele wanafanya Vipi biashara.

Mama Samia Over to you, Tz ukiwa mpole watakuchezea sana!
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Wakomae nao hivyo hivyo si wamesema hawatafungua basi wasifungue
 
Mbona walokole bado wanapiga makelele na mnaona sawa tu?
Hilo sio tatizo letu, ni tatizo la wenye mamlaka wanayaogopa hayo makanisa, Sisi kama wananchi tunataka kelele ziishe ziwe za makanisa, bar, mashine, bodaboda, wale vijana wa hovyo wa alteza na subaru etc 🤣

Serikali iache double standards, wamefungiwa walipa kodi, hao wezi wa sadaka wanaachwa kwanini!

Bora waambiwe kelele zisizidi masaa ma3 kwa siku, tena mchana.
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Afurushwe huyo mkuu wa mkoa kila aendapo anazalisha maandamano na ukiukwaji wa taratibu
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Huu uzi ni maalumu wa kuigusa CV ya Mbunge Msukuma.

Watu wa chama wanatake note na kupeleka taarifa

Sisi tuendelee kujadili kupiga muziki bar
 
Kesho zitapigwa kibiriti shetani wa moto amekuja
 
Wapumbavu kabisa hao jamaa
Wapumbavu Kwa lipi? Ukishatoa kibali Kwa watu kufanya biashara ya baa uwaache wafanye biashara Kwa matakwa ya biashara hiyo. Wateja wanainjoi na kunywa zaidi wakisikia makele. Acheni hizo nyie wanywa juice.
 
Binafsi huwa sipendi kelele ila raha kuishi mjini ni makele hasa ya magari na muziki.
 
Wapokonywe leseni za biashara haraka sana. Hakuna kubembelezana.
Acha upuuzi, wapokonywe Kwa lipi? Halafu utapata Nini? Acha wivu wa kijinga. Kama wewe haupigi mtungi ni wewe, acha watu na mambo yao.
 
Maandamano ya wamiliki wa Baa na Kumbi za starehe wakiandamana kuelekea ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Mwanza baada ya kumbi/ Baa Kuzuiwa kufanya uchafuzi wa Mazingira kwa Kelele zilizozidi viwango.

Inadaiwa kuwa Mbunge Musukuma ndiye ‘mastermind’ wa hii kitu, kama hivyo ndivyo basi kuna shida inaelekea kutokea.

Anashinikiza na kuwaandaa watu waandamane kisaa Hotel yake ni moja ya zilizofungwa kwa kupiga kelele. Alitakiwa aweke vifaa vya kuzuia kelele kuliko kusumbua majirani.

Updates...
Wamiliki wa Hoteli na baa zaidi ya mia tatu Mwanza waandamana hadi kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakiendelea kupinga faini na sheria za Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) huku wakisema hawatafungua hoteli na baa zao hadi waruhusiwe kupiga muziki.
Wamiliki wa baa mnaonesha njia hongereni!
 
1685124314305.png
 
Back
Top Bottom