Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Pole Sana,kwa kudhani unajua kumbe hujui hata sekunde mbele moja mbele yako Nini kitakupata.
Sasa Kwa kusema hayo maneno ndo unahs kitu gani kitabadrika ? Tumia akili kusurvive achana na myth story...!! Sio akili unaficha kwenye makalio alaf unaanza kupayuka et Mungu kapanga , Mungu hajawah fanya kazi ya kipuuzi kama hyo
 
Sasa Kwa kusema hayo maneno ndo unahs kitu gani kitabadrika ? Tumia akili kusurvive achana na myth story...!! Sio akili unaficha kwenye makalio alaf unaanza kupayuka et Mungu kapanga , Mungu hajawah fanya kazi ya kipuuzi kama hyo
Duuuh.[emoji1787][emoji1787]
 
Sasa Kwa kusema hayo maneno ndo unahs kitu gani kitabadrika ? Tumia akili kusurvive achana na myth story...!! Sio akili unaficha kwenye makalio alaf unaanza kupayuka et Mungu kapanga , Mungu hajawah fanya kazi ya kipuuzi kama hyo
Uandishi wako tu unaonyesha familia ya namna gani umetokea,siwezi kukulaumu wa kulaumiwa ni waliokukuza
 
Mapacha kwenda kuogelea ziwani pamoja, tena ziwa lenyewe Victoria tena ufukwe wenyewe Mihama kitangiri hiyo rasi imefukia watu wa kutosha. Halafu sijui watu wanamuelewaje huyu Mungu, yaani Mungu awatoe mapacha chuoni sijui mtaani awapeleke ziwani akawazamishe wafe ili mapenzi yake yatimizwe muhhh!! Inafikirisha sana juu ya Mungu wa namna hiyo.
 
Uandishi wako tu unaonyesha familia ya namna gani umetokea,siwezi kukulaumu wa kulaumiwa ni waliokukuza
Tukianza kutukanana wazazi hatutafika naweza kukutukana vile vile , mkuu huna daraja lolote la kujisifia kitabia , kidini hata kimaslah Bora tuishie hapa
 
Duuuh mbna inaogopeshaaa sasa
 
Nakushukuru angalau umetoa possibilities ya kuzama with vivid examples.!
 
Sifa za kijinga zitakuwa zimewaponza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…