Mwanza: Wanafunzi Mapacha wa Chuo cha Mipango wafariki Dunia kwa kuzama Ziwa Victoria

Kama majini ni vitu vya kufikirika vipi kuhusu hiyo pepo unayotaka apumzike? Yenyewe ni real?
 
[emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sisi tuliofanya kazi za uvuvi tunaoshia kucheka tu.....

Kweli shule na vyuo hazifundishi kila kitu na hazitakiwi kufundisha yote kwani...

[emoji117]NEVER GIVE WISDOM TO UNWORTHY BECAUSE ITS UNFAIR TO THE KNOWLEDGEABLE

#YetzerHatov
 
Enzi hizo nasoma bwiru boys naogelea umbali mrefu Hadi huko kwenye mawe kumbe nilikuwa najizika.


Wapumzike kwa amani.
Kipindi hicho nimeogelea sana huko japo nilikuwa muoga sana maji yakinizidi mabega nilikuwa siendi.
 
Kama unajuwa "habari si za kweli" kwanini uliuliza?

Mtu anaweza kuwa mzee wa miaka 100 akawa hakuwekeza kuyatafuta maarifa mapana ya dunia....mwishowe anazikwa kwa "Sondombwa" na sisi wayahudi huishia kulicheka kaburi lake kwa kusema hapa amezikwa "GOYYIM"....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…