Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo powa alooh nimeacha rasmi achakitambi kijeNina ndugu yangu anafanya mazoezi na rafiki zake nilimshaurigi zaidi ya mara mbili asiwe anakimbia (jogging) kwenye barabara au makazi ya watu angalau upate kiwanja mbona unafanya vizuri tu.
Sababu ya kumshauri kulishatokea tukio maeneo ya G5 mtu alikua anafanya tizi la mbio jioni katoka ufukweni zikapigwa kelele za mwizi mwamba hakupona.
Pili barabarani ndio kama hivyo mtu anaweza poteza uthibiti wa gari na mambo yakawa mengine.
Tujijali kila muda yuthamini kidogo haya maisha tuliopewa.
Mtaonaje vifua na matako?Duuu kirumba uwanja mkubwa mnashindwa kwenda humo ubishoo tu
Inarudisha kutoka wapi wakati wameruhusu wavamizi?Ni wakati sasa serikali irusishe maeneo ya wazi miji iwe na city parks watu wawe wanaenda kufanya mazoezi huko pia barabara ziongezwe kuweka nafasi ya wakimbia kwa miguu na waendesha baiskeri.
😂😂😂Mtaonaje vifua na matako?
... Uchunguzi wa kina ufanywe kujua chanzo cha ajali na sio blah blah zilizotolewa eti "mwendokasi" kana kwamba kuna mtu alikuwa anapima speed aliyokuwa akiendeshea. Hakuna mtu anayeamka asubuhi nyumbani kwake kwenda kuua watu barabarani; never!Leseni yake ifungiwe, huu ni uzembe wa hali ya juu sana.
... sio tu hatari kufanya mazoezi barabarani; bali pia barabarani sio sehemu ya kufanyia mazoezi! Mbele ya macho ya sheria wote hao wana makosa kwa kuhatarisha usalama wa vyombo vya moto na watumiaji wengine wa barabara kisheria. Mark my words; by saa nne asubuhi kesi itakuwa imetupiliwa mbali na mahakama.Kuna MTU alishaandika humu kua ni harari kufanya mazoezi kando ya high way
Pole Sana kwa wafiwa.Watu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela Mwanza leo Julai 22, 2023 majira ya asubuhi.
=====
Taarifa za awali ni kwamba Watu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela, Jijini Mwanza.
Chanzo cha ajali ni mwendokasi na Dereva kutozungatia Sheria na alama za barabarani.
Miili ya Waliofariki na Majeruhi wa ajali wamepelewa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou toure.
============
UPDATES...
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya “Imetokea katika Wilaya ya Ilemela, gari aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili T476 DZL ikitoka Sabasaba kuelekea Buswelu ilipoteza mwelekeo kutokana na mwendokasi na kusababisha ajali iliyoua watu 6, kujeruhi 14 waliokuwa wakifanya mazoezi ya kukimbia ambapo jumla yao walikuwa 27.
"Majeruhi wanne wapo Hospitali ya Bugando, wengine 10 wapo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure.
“Juhudi za kumtafuta Dereva zinaendelea kwa kuwa alikimbia mara baada ya tukio hilo.”
... na wengine akina mama ni sehemu mahususi za showoff jinsi "walivyojaaliwa".Halafu unakuta msululu wa watu kwa kuigana kila mmoja anakimbia tu
Wapige marufuku tu
Mwenye akili timamu hawezi kufanya mazoezi barabarani
... mazoezi kando ya barabara baadhi wanayachukulia kwa malengo wanayojua wao.Duuu kirumba uwanja mkubwa mnashindwa kwenda humo ubishoo tu
Usiseme NEVER. Kuna kitu kinaitwa... Uchunguzi wa kina ufanywe kujua chanzo cha ajali na sio blah blah zilizotolewa eti "mwendokasi" kana kwamba kuna mtu alikuwa anapima speed aliyokuwa akiendeshea. Hakuna mtu anayeamka asubuhi nyumbani kwake kwenda kuua watu barabarani; never!
Ajali haina kinga. R.I.PWatu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela Mwanza leo Julai 22, 2023 majira ya asubuhi.
=====
Taarifa za awali ni kwamba Watu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela, Jijini Mwanza.
Chanzo cha ajali ni mwendokasi na Dereva kutozungatia Sheria na alama za barabarani.
Miili ya Waliofariki na Majeruhi wa ajali wamepelewa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou toure.
============
UPDATES...
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya “Imetokea katika Wilaya ya Ilemela, gari aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili T476 DZL ikitoka Sabasaba kuelekea Buswelu ilipoteza mwelekeo kutokana na mwendokasi na kusababisha ajali iliyoua watu 6, kujeruhi 14 waliokuwa wakifanya mazoezi ya kukimbia ambapo jumla yao walikuwa 27.
"Majeruhi wanne wapo Hospitali ya Bugando, wengine 10 wapo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure.
“Juhudi za kumtafuta Dereva zinaendelea kwa kuwa alikimbia mara baada ya tukio hilo.”