dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... if that is the case; huyo ndio kabisa hakuna kesi!Usiseme NEVER. Kuna kitu kinaitwa
"Changamoto ya afya ya akili"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... if that is the case; huyo ndio kabisa hakuna kesi!Usiseme NEVER. Kuna kitu kinaitwa
"Changamoto ya afya ya akili"
... kutofanya mazoezi barabarani ilikuwa kinga bora kabisa!Ajali haina kinga. R.I.P
Watu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela Mwanza leo Julai 22, 2023 majira ya asubuhi.
=====
Taarifa za awali ni kwamba Watu 6 wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari binafsi, ambalo limewagonga wananchi waliokuwa wakifanya mazoezi kandokando ya barabara eneo la Sabasaba Ilemela, Jijini Mwanza.
Chanzo cha ajali ni mwendokasi na Dereva kutozungatia Sheria na alama za barabarani.
Miili ya Waliofariki na Majeruhi wa ajali wamepelewa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou toure.
============
UPDATES...
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya “Imetokea katika Wilaya ya Ilemela, gari aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili T476 DZL ikitoka Sabasaba kuelekea Buswelu ilipoteza mwelekeo kutokana na mwendokasi na kusababisha ajali iliyoua watu 6, kujeruhi 14 waliokuwa wakifanya mazoezi ya kukimbia ambapo jumla yao walikuwa 27.
"Majeruhi wanne wapo Hospitali ya Bugando, wengine 10 wapo Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Sekou Toure.
“Juhudi za kumtafuta Dereva zinaendelea kwa kuwa alikimbia mara baada ya tukio hilo.”
Toka kabla Bwana Yesu hajazaliwaPole kwao ila tokalini kando kando ya barabara ikawa sehemu ya mazoezi.
Pia unapokimbia barabarani kwa kupishana na magari ile hewa ya moshi wa magari si nzuriNina ndugu yangu anafanya mazoezi na rafiki zake nilimshaurigi zaidi ya mara mbili asiwe anakimbia (jogging) kwenye barabara au makazi ya watu angalau upate kiwanja mbona unafanya vizuri tu.
Sababu ya kumshauri kulishatokea tukio maeneo ya G5 mtu alikua anafanya tizi la mbio jioni katoka ufukweni zikapigwa kelele za mwizi mwamba hakupona.
Pili barabarani ndio kama hivyo mtu anaweza poteza uthibiti wa gari na mambo yakawa mengine.
Tujijali kila muda yuthamini kidogo haya maisha tuliopewa.
Taifa lililojaa wavivu, wazembe na walevi lazima lipinge mazoezi, watembea kwa miguu kila siku wanagongwa hamsemi marufuku itolewe watu kutembea barabarani, chanzo ni mwendo kasi wa dereva na lazima ulevi wa dereva. Wasikimbie barabarani watu elfu moja wakimbie kilometa 10 uwanjani inaingia akilini!!!viwanja vyenyewe viko wapi hata ingewezekana.Halafu unakuta msululu wa watu kwa kuigana kila mmoja anakimbia tu
Wapige marufuku tu
Mwenye akili timamu hawezi kufanya mazoezi barabarani
Hua tunakaa tunawaangalia tu. Hasahasa nyie mnaokimbia kabla mwanga haujatoka.Ruuh mimi na masela tunapasha kila siku road ya malimbe kuanzia Jeshini mpaka Saut chuoni ipo siku yetu tu gari litapita na sisi kmk tuuliwe kwasababu ile road walevi ni wengi
Hasa mimi naekimbiaga kama kichaa ipo siku gari litanivunja miguu kama sio kuniua...kuacha ndo siwezi
dah, umenikumbusha mbali sana ulivyotaja Hizo beach.Hua tunakaa tunawaangalia tu. Hasahasa nyie mnaokimbia kabla mwanga haujatoka.
Bora wale wajeda wanaokimbia asubuh na kuvaa nguo nyeupe.
Sasa hv beach za malimbe na luchelele zimepoa, lakn kipindi kile tamari, Jembe ni jembe, wag hill n.k ziko moto, mbona wengi tu walikua wanapigwa tairi.
Kaeni chonjo. Na hii barabarani nyembamba haitoshi.
Mdomo unaumbaRuuh mimi na masela tunapasha kila siku road ya malimbe kuanzia Jeshini mpaka Saut chuoni ipo siku yetu tu gari litapita na sisi kmk tuuliwe kwasababu ile road walevi ni wengi
Hasa mimi naekimbiaga kama kichaa ipo siku gari litanivunja miguu kama sio kuniua...kuacha ndo siwezi