M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
NDIO UMKUTE ANA TAKO SASA....Hili ndio tatizo
Kujionyesha bila aibu
Ndio laana hizo na wataparamiwa sana kwa kukosa akili
Jitu zima linafanya jogging kwenye barabara kote kujionyesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO UMKUTE ANA TAKO SASA....Hili ndio tatizo
Kujionyesha bila aibu
Ndio laana hizo na wataparamiwa sana kwa kukosa akili
Jitu zima linafanya jogging kwenye barabara kote kujionyesha
[emoji1][emoji1][emoji1] hapo dereva anaua kabisaNDIO UMKUTE ANA TAKO SASA....
Huyo nimimi kabisa mkuu mi bila earphone cwez kimbia ila nikiwa na phone nakichafua toka kijitonyama mlimani city, mwenge kawe kurudi mpaka moroco mzuka ukiwa mwingi mpaka posta nafikaKuna watu wanatembea na earphone na earpods hao kujeruhiwa ni nukta
wakumbushe kwamba hii ni tzSio hasira bali wanakera kwa kutokujitambua
Barabara ni kwa ajili ya usafiri tu
Au nakosea [emoji1]
Nimesikitika sana eneo la wazi la Kitaa ambalo tulikulia tunacheza mpira likijulikana masoko yaani kiongozi wa ngazi ya juu Kabisa ya chama na serikali kajenga bungallow ndani ya miezi3. Sipingi maendeleo binafsi ya mtu ila why now? Tena pahala pa open space ya kusenga soko? au kwa kuwa ni ushuani sijui, hajaona pahala pengine? yaani tunaowategemea watulinde na kuktututea wanyonge ndio wana wanatupurua.Ajali zinatokea kila siku
Wenye mabasi kila kukicha wanaua na hakuna anaehukumiwa kifo
Sehemu za mazoezi zitengwe na sio barabarani
Sehemu za wazi zote zimeuzwa na washenzi wenye tamaa
Mpaka viwanja vya shule vimeuzwa
Zamani mpaka makahama zilikuwa na maeneno makubwa sana mpaka mpira tulikuwa tunacheza jioni
Police walikuwa na maeneo makubwa
Ila kila mahali wameuza watu wenye tamaa
Hao ndio wa kunyongwa sasa
Kwa kweli inakera sana halafu kuna wanasheria ambao kazi yao kutetea wanasiasa badala ya UmmaNimesikitika sana eneo la wazi la Kitaa ambalo tulikulia tunacheza mpira likijulikana masoko yaani kiongozi wa ngazi ya juu Kabisa ya chama na serikali kajenga bungallow ndani ya miezi3. Sipingi maendeleo binafsi ya mtu ila why now? Tena pahala pa open space ya kusenga soko? au kwa kuwa ni ushuani sijui, hajaona pahala pengine? yaani tunaowategemea watulinde na kuktututea wanyonge ndio wana wanatupurua.
🤣🤣🤣 hao hata mimi nawapelekea. Ule ni utaahira wa kiwango cha utetezi wa Prof Mruma vs Winshear Gold CorpKuna watu wanatembea na earphone na earpods hao kujeruhiwa ni nukta
ole wako unipelekee halafu nipone kmmke utajuta🤣🤣🤣 hao hata mimi nawapelekea. Ule ni utaahira wa kiwango cha utetezi wa Prof Mruma vs Winshear Gold Corp
Kwa Tanzania siyo kufanya mazoezi tu ila hata kutembea kando kando ya barabara ni hatari. Mimi nikiwa Dar huwa natembea kwa wasiwasi mno ninapokuwa kwa miguu kwani barabara nyingi hazina sehemu rasmi ya waenda kwa miguu au kama zipo, huwezi kujua barabara ni ipi na sehemu ya waenda kwa miguu ni ipi. Magari nayo yanaenda mwendo wa hatari kweli kweli. Kuhusu hii ajali, ni matokeo mengine ya jinsi sisi raia tunavyolipa gharama kubwa kwa sababu ya kukaa kimya pale viongozi wetu wanapofanya uzembe. Kuna uzembe mkubwa sana kwenye utengenezaji wa barabara kwani hazikidhi viwango. Waliofariki au kuumia ni victims tu wa uzembe wa serikali.Halafu unakuta msululu wa watu kwa kuigana kila mmoja anakimbia tu
Wapige marufuku tu
Mwenye akili timamu hawezi kufanya mazoezi barabarani
Sisi hatuna kitu cha kujivunia hata kimoja katika hii dunia. Utasikia tunajivunia amani uchwara. Amani ya mazindiko na nguvu ya dola.Kwa Tanzania siyo kufanya mazoezi tu ila hata kutembea kando kando ya barabara ni hatari. Mimi nikiwa Dar huwa natembea kwa wasiwasi mno ninapokuwa kwa miguu kwani barabara nyingi hazina sehemu rasmi ya waenda kwa miguu au kama zipo, huwezi kujua barabara ni ipi na sehemu ya waenda kwa miguu ni ipi. Magari nayo yanaenda mwendo wa hatari kweli kweli. Kuhusu hii ajali, ni matokeo mengine ya jinsi sisi raia tunavyolipa gharama kubwa kwa sababu ya kukaa kimya pale viongozi wetu wanapofanya uzembe. Kuna uzembe mkubwa sana kwenye utengenezaji wa barabara kwani hazikidhi viwango. Waliofariki au kuumia ni victims tu wa uzembe wa serikali.
Inategemeana kama unavaa headphone zipi... Kuna bone conduction headphones unasikia kila kila around you iwe magari pikipiki etc na mziki mzuri unakula kama kawaida .Kuna watu wanatembea na earphone na earpods hao kujeruhiwa ni nukta
Mkuu hata hiyo amani hakuna. Ni geresha yao tu. Watawala ndiyo wana amani kwani wanaishi maisha ya anasa na hakuna wa kuwauliza.Sisi hatuna kitu cha kujivunia hata kimoja katika hii dunia. Utasikia tunajivunia amani uchwara. Amani ya mazindiko na nguvu ya dola.