Kwahiyo wewe unadhani Kaenda Kichwa kichwaHivi PM ana uhakika kuwa hiyo 80% inayodaiwa kulipwa, ililipwa ?
Huko TEMESA kulikuwa na upigaji wa 5G chini ya mfalme wa chato kipindi chake, so ahakikishe anachokisema ni sahihi kwamba walilipa hiyo 80%
Maana huyu PM amekuwa si mtu wakuaminika, a good liar.!
Mkuu wewe unamawazo ya ki,,,nga wewe bila kutaja huyo mfalume wa chato huamini anayoyasema PMHivi PM ana uhakika kuwa hiyo 80% inayodaiwa kulipwa, ililipwa ?
Huko TEMESA kulikuwa na upigaji wa 5G chini ya mfalme wa chato kipindi chake, so ahakikishe anachokisema ni sahihi kwamba walilipa hiyo 80%
Maana huyu PM amekuwa si mtu wakuaminika, a good liar.!
Kutengeneza pamba za vidonda hatuwezi alafu wewe unawaza Meli mbali kote ukoMTAKUJA KUJENGEWA MELI MUOGO MZAME NAYO KWA UTAHIRA WENU..!
MIAKA 6O YA UHURU HAMNA MAINGINIA WA KUJRLENGA MELI.
Wewe hufai kuwa Rais? Huoni aibu kumsifia mwanaume aliyepambana kufika alipofika.Katiba ingeruhusu huyu ndo angekuwa rais
Kama wasomi wenyewe ndiyo kina bigmind unategemea tuweje kweli?MTAKUJA KUJENGEWA MELI MUOGO MZAME NAYO KWA UTAHIRA WENU..!
MIAKA 6O YA UHURU HAMNA MAINGINIA WA KUJRLENGA MELI.
Yote yawezekana, hivyo vikampuni vidogo tokea mwanzo vilionyesha kusua sua.Haiingii akilini kabisa, kontracta afanye alivyofanya bila kuwepo na sababu ya kufanya alichofanya.
Naegemea zaidi kuamini ulichoandika hapa.
Hawa watu wanaweza kuwa wanafanya siasa kwenye mambo ya namna hii?
Changua kipi alaumiweNa hili alaumiwe Marehemu ?!!!!
Sitomsahau alivyosema Magu ni mzima na anapiga kazi na kwamba ametusalamia..kumbe ukweli jamaa alikua anapigania uhai ni bora angesema ukweli tumuombee.Hivi PM ana uhakika kuwa hiyo 80% inayodaiwa kulipwa, ililipwa ?
Huko TEMESA kulikuwa na upigaji wa 5G chini ya mfalme wa chato kipindi chake, so ahakikishe anachokisema ni sahihi kwamba walilipa hiyo 80%
Maana huyu PM amekuwa si mtu wakuaminika, a good liar.!
Korea ya Kusini si ndio ilitusaidia kujenga Tanzanite bridge na moja ya flyover?Watu walio karibu na Waziri Mkuu wamshauri vizurI. Passport ni mali ya nchi iliyotoa hiyo Passport. Serikali moja haiwezi kuchukua mali ya nchi nyingine kwa kick za kisiasa. Ni wizi. Wakorea wanaweza kulalamika ikaleta shida.
Ni mbinu za walamba asali kuua legacy. Hasa kwenye miradi ambayo 10% ilishaliwa na watu wa mwendazakeHaiingii akilini kabisa, kontracta afanye alivyofanya bila kuwepo na sababu ya kufanya alichofanya.
Naegemea zaidi kuamini ulichoandika hapa.
Hawa watu wanaweza kuwa wanafanya siasa kwenye mambo ya namna hii?
Kuna tatizo kubwa katika utendaji huko serikalini. Na siyo kwamba ni tatizo jipya, ila sasa linazidi kuwa baya zaidi, sijui kwa nini.Yote yawezekana, hivyo vikampuni vidogo tokea mwanzo vilionyesha kusua sua.
Kisingizio kilikuwa Covid-19,meli ndogo kujengwa miaka 5 siyo sawa.
Pili usimamizi labda una mkono wa kisiasa,sijaona kama tulikuwa na competent ship builders kusimamia miradi hiyo.
Hadi waziri mkuu anawazui wakorea wasitoke Mwanza ni kwamba hapakuwepo ufuatiliaji kwa mikutano ya pammoja inayotakiwa kufanyika kila siku kubaini kazi zilizopangwa na zilizofanyika.
Wangeweza kubaini Key performance Indicators zikoje?
Sasa tunaambiwa wapo 65% badala ya 95%
kwanini?
Hii itaishia mahakamani and most likely serikali itashindwa kwa kuwapa watu butu kusimamia mradi mkubwa.