Mwanza: Waziri Mkuu azuia paspoti 7 za wakandarasi wa Meli ya MV Mwanza

Mwanza: Waziri Mkuu azuia paspoti 7 za wakandarasi wa Meli ya MV Mwanza

Yote hii ni sababu usimamizi wa serikali ya Samia kulegalega kwenye usimamizi wa miradi hii mikubwa ya kimkakati.

Kweli ni huko kulega lega kwa usimamizi wa hii serikali!! Kila kitu ni rojo rojo tu ndio maana kazi haziendi! Mkiambiwa eti ooh hamumpendi Samia!!! Sasa tutampenda kwa lipi wakati kazi zinakwama?
 
Ni mbinu za walamba asali kuua legacy. Hasa kwenye miradi ambayo 10% ilishaliwa na watu wa mwendazake
Hili litakuwa ni jambo la kusikitisha sana kama kuna ukweli wa aina yoyote juu yake.
Hawa watakuwa ni maadui hasa wa taifa letu.
 
Kwanini hatukua na option ya ku import ready made, sina uhakika na wataalamu haoa nchini janja janja nyingi watatua
Meli ya ziwani huwezi kuibeba ready made. Ni lazima ziletwe parts.

Contractor aliyepewa kazi hakuwa vetted.
 
Meli ya ziwani huwezi kuibeba ready made. Ni lazima ziletwe parts.

Contractor aliyepewa kazi hakuwa vetted.

Hawa WAKOREA wamezoea kutupiga kwenye miradi mingi; nakumbuka mradi wa barabara ya Bagamoyo mpaka MSATA, ile barabara tender walipata Kampuni ya waKOREA na JKT!!! Mara baada ya malipo amabyo yalikuwa very irrational kwani wlalipewa almost hela zote za mradi hata kabla ya kuanza; wale wakorea wakakimbia bila kufanya kazi!!! Serikali ililazimika kutenga fedha nyingine ili barabara ile ijengwe na Kampuni ya ESTEEM !

Utajiuliza ilikuwaje wakapewa karibuni fedha zote hizo z a mradi hata kabla ya kuanza? Huo Ndio uliokuwa ufisadi wa serikali ya Kikwete kwani hata dalali wa wale wakorea[ sasa ni Marehemu] katika ule mradi alikuwa na uhusiano wa karibu na Kikwete mwenyewe!!
 
Yote yawezekana, hivyo vikampuni vidogo tokea mwanzo vilionyesha kusua sua.
Kisingizio kilikuwa Covid-19,meli ndogo kujengwa miaka 5 siyo sawa.

Pili usimamizi labda una mkono wa kisiasa,sijaona kama tulikuwa na competent ship builders kusimamia miradi hiyo.
Hadi waziri mkuu anawazui wakorea wasitoke Mwanza ni kwamba hapakuwepo ufuatiliaji kwa mikutano ya pammoja inayotakiwa kufanyika kila siku kubaini kazi zilizopangwa na zilizofanyika.
Wangeweza kubaini Key performance Indicators zikoje?
Sasa tunaambiwa wapo 65% badala ya 95%
kwanini?
Hii itaishia mahakamani and most likely serikali itashindwa kwa kuwapa watu butu kusimamia mradi mkubwa.
Hao wa Korea wamewekwa kama chambo, nyuma ya hiyo kampuni Kuna wabongo Kibao wasomi wa fani hii, wengine wapo kama washauri na wasimamizi na walianza tangu mradi haujaanza.
 
Hawa WAKOREA wamezoea kutupiga kwenye miradi mingi; nakumbuka mari wa barabara ya Bagamoyo mpaka MSATA, ile barabara tender walipata Kampuni ya waKOREA na JKT!!! Mara baada ya malipo amabyo yalikuwa very irrational kwani wlalipewa almost hela zote za mradi hata kabla ya kuanza; wale wakorea wakakimbia bila kufanya kazi!!! Serikali ililazimika kutenga fedha nyingine ili barabara ile ijengwe na Kampuni ya ESTEEM !

Utajiuliza ilikuwaje wakapewa karibuni fedha zote hizo z a mradi hata kabla ya kuanza? Huo Ndio uliokuwa ufisadi wa serikali ya Kikwete kwani hata dalali wa wale wakorea[ sasa ni Marehemu] katika ule mradi alikuwa na uhusiano wa karibu na Kikwete mwenyewe!!
Nafanya kazi TAKUKURU. Nikafungue faili?
 
Meli hiyo inajengwa na kampuni 2 za wakorea na Suma JKT. Na kipindi Raisi Magufuli alipoenda Kuna mwanajeshi alikuwa amesimamishwa Kwa kashfa ya kuiba vyuma chakavu akarudishwa na kuwa msimamizi, Kuna mwingine Mtaalamu wa Naval Architecture yupo kwenye usimamizi, wataalamu kutoka chuo Cha bahari wapo Hapo wasomi kibao na mradi umesinzia mkataba ilikuwa ni 21 January 2021 meli itakuwa tayari na kukabidhi
 
MTAKUJA KUJENGEWA MELI MUOGO MZAME NAYO KWA UTAHIRA WENU..!

MIAKA 6O YA UHURU HAMNA MAINGINIA WA KUJRLENGA MELI.
Tuwapate wapi ndugu, tunaowasomesha ni kama wewe, hata kuandika vizuri huwezi
 
Watu walio karibu na Waziri Mkuu wamshauri vizurI. Passport ni mali ya nchi iliyotoa hiyo Passport. Serikali moja haiwezi kuchukua mali ya nchi nyingine kwa kick za kisiasa. Ni wizi. Wakorea wanaweza kulalamika ikaleta shida.
Aacha utoto basi, yaan wewe uende nchi nyingine ufanye ualifu wakuangalie tu eti kwa vile wewe sio raia wa nchi husika, kama si hivyo pasport kitu gani?? Jera utaenda na hakuna atakayekutetea.
 
Kuna tatizo kubwa katika utendaji huko serikalini. Na siyo kwamba ni tatizo jipya, ila sasa linazidi kuwa baya zaidi, sijui kwa nini.

Ngoja niingize jambo jingine linalo tudidimiza zaidi kutokana na uzembe huu.

Miradi yote hii inayofanyika sasa ilitakiwa ichangie sana kuinua pato letu la kila mwaka kadri ilivyokuwa inakamilika. Lakini kwa kusuasua huku, 'boost' iliyotegemewa itakuwa hafifu sana kwa upande huo.
Wewe unategemea engineer graduate toka vyuo vyetu aliyejifunza welding kwa week mbili tu amsimamie G6 welder kweli?
 
PM ni mtu goigoi porojo mingi na muongo mno, unahitaji kuwa mwendawazimu kidogo kumwamini Kasimu.
 
Yote yawezekana, hivyo vikampuni vidogo tokea mwanzo vilionyesha kusua sua.
Kisingizio kilikuwa Covid-19,meli ndogo kujengwa miaka 5 siyo sawa.

Pili usimamizi labda una mkono wa kisiasa,sijaona kama tulikuwa na competent ship builders kusimamia miradi hiyo.
Hadi waziri mkuu anawazui wakorea wasitoke Mwanza ni kwamba hapakuwepo ufuatiliaji kwa mikutano ya pammoja inayotakiwa kufanyika kila siku kubaini kazi zilizopangwa na zilizofanyika.
Wangeweza kubaini Key performance Indicators zikoje?
Sasa tunaambiwa wapo 65% badala ya 95%
kwanini?
Hii itaishia mahakamani and most likely serikali itashindwa kwa kuwapa watu butu kusimamia mradi mkubwa.
Kwaiyo wa Korea walikuwa wanataka kutoroka
 
Back
Top Bottom