Ukweli anaujua Mungu na Mwendazake. Na hautabadilika kwa kuwekewa maneno yeyote yale. Kama ni Aterio Fibrilation au Corona au vyote viwili, hao wawili wanajua. La msingi kifo ni kifo tu.Huyo alishachanjwa chanjo ya corona kisirisiri ile ya China sasa nakushangaa unavyosema kafa na corona, mtu ambaye kafa na corona na kifo chake hakina shaka ni Maalim seif wa Zanzibar huyu ndio kaugua corona na akafariki.
Kwani wewe mungu wako yupi yule mungu wa chama mwenye kutawala milele au yule mungu wa sheria kuliko miungu yote ya sheria?
Sasa hauoni kama chanjo ndio itakuwa imemuondoa maana huo ugonjwa wa moyo alikuwa nao miaka yote ila baada ya kuchanjwa ndio kafariki, kwahiyo kifo chake ndio kinazidisha sisi kupinga hizo chanjo maana tumeona kilichotokea kwa mpendwa wetu.Sasa Kama alichanjwa chanjo ya Covid19 kwa Siri, nyie misukule wake mbona mnapinga chanjo!!?
Kwahiyo unataka kusema Aliyekuwa Daktari wake pia hajui ukweli?Ukweli anaujua Mungu na Mwendazake. Na hautabadilika kwa kuwekewa maneno yeyote yale. Kama ni Aterio Fibrilation au Corona au vyote viwili, hao wawili wanajua. La msingi kifo ni kifo tu.
Mama mwenyewe unayemsifia aliteuliwa na unayemtukana. Huo ni uendawazimuKwa mama kadri wanavyomuombea mabaya yatawafika wao, maana Madam president ana hofu ya Mungu sio Kama yule dikteta
OvaMungu wa misukule Kama wewe, mkuu gwaji boy yupo kwenye Helcopter anaelekea kumfufua mungu wenu, ,,,,wenzio kina Wakudadavuwa washafika wanaendelea kudemka kabla gwaji boy ajatimba
OvaMungu wa misukule Kama wewe, mkuu gwaji boy yupo kwenye Helcopter anaelekea kumfufua mungu wenu, ,,,,wenzio kina Wakudadavuwa washafika wanaendelea kudemka kabla gwaji boy ajatimba
Kama alijimwambafai ni wapi Duniani korona imeisha?Washajifunza,Kuna tahira mmoja aliivimbia Covid19 na kuidharau science, kilichompata imekuwa historia,
Alijimwambafai mbele ya science,
NAMPENDA mama wa watu hana vichamno, sijamuona msikitini akingangania maiki na kuchamba mashehe kama alivyokuwa naniiluu.
Huu ndio utoto na upumbavu ulio ambiwa! Kutwa kucha Unapigana na maiti! Marehemu hayupo tena duniani, lakini wewe bado hupati usingizi! Subiri safari yako ya kuzimu - na itafika, ila maumivu utakayo Pata kabla, ndiyo hayajulikani! Ila utajutia matendo yako haya ya kumsimanga maiti.Nyie wapuuzi mliekuwa mnamtukuza mtu Kama ni mungu, na kufikia wakati kutamka kuwa eti atatawala milele hakuna mbadala wake, nahisi hamkujua kuwa maisha na uhai miliki yake ipo kwa muumba tu,
Aya Leo kiko wapi, kufa kila mtu atakufa Chief, ila nyinyi mlihisi bwana mkubwa ye ataishi milele,
Kwa utukufu gani aliokuwa nao yule mungu wenu,kiasi mtu akimsimanga aje ajutie eti,Huu ndio utoto na upumbavu ulio ambiwa! Kutwa kucha Unapigana na maiti! Marehemu hayupo tena duniani, lakini wewe bado hupati usingizi! Subiri safari yako ya kuzimu - na itafika, ila maumivu utakayo Pata kabla, ndiyo hayajulikani! Ila utajutia matendo yako haya ya kumsimanga maiti.
Huna ujualo BintiMama mwenyewe unayemsifia aliteuliwa na unayemtukana. Huo ni uendawazimu
Inawezekana alijua, ila si unajua ilikuwa awamu ya wataalamu kuacha taaluna na kugezwa wahubiri wa cha kuambiwa? Na pia ilikuwa funika kombe mwanaharamu aende zake!!?Kwahiyo unataka kusema Aliyekuwa Daktari wake pia hajui ukweli?
Tatizo hapa ni hiyo imani ya kuhusisha kifo cha Magufuli na corona basi,tutabishana sana tu hapa kama haielezwi kwanini mfikirie kuwa kifo chake kinahusiana na corona? sasa kama sababu yenyewe ni et alidharau corona ndio maana kfa na corona basi ni upuuuzi mtupu.Inawezekana alijua, ila si unajua ilikuwa awamu ya wataalamu kuacha taaluna na kugezwa wahubiri wa cha kuambiwa? Na pia ilikuwa funika kombe mwanaharamu aende zake!!? Au hukumsikia Prof. Kabudi, Bashiru, Bashite, Mwigulu, PM, Chalamila!!! Wote walituaminisha wameongea nae na yupo ikulu anachapa kazi kupunguza mlundikano wa files!!! Hukusikia!!
Dikteta alikuwa mtu hatari snNAMPENDA mama wa watu hana vichamno, sijamuona msikitini akingangania maiki na kuchamba mashehe kama alivyokuwa naniiluu.
Ni mtu gani huyoMkuu wa Mkoa wa Mwanza Mwandisi Robert Gabriel
Wapi kapigana na.mwendazake hapo..! Ujinga mliufanya wenyewe kumtukuza shujaa wenuHuu ndio utoto na upumbavu ulio ambiwa! Kutwa kucha Unapigana na maiti! Marehemu hayupo tena duniani, lakini wewe bado hupati usingizi! Subiri safari yako ya kuzimu - na itafika, ila maumivu utakayo Pata kabla, ndiyo hayajulikani! Ila utajutia matendo yako haya ya kumsimanga maiti.