Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Kama mamlaka za ndani hazitaki kuona, kutambua na kuheshimu juhudi zetu, acha mamlaka za nje zitupe heshima hiyo.Kama vijana tutaona kilele cha mafanikio yetu na furaha yetu ni kutambuliwa na kuheshimika na mamlaka kuu za nchi za nje basi kiusalama tunakuwa number one threat.