Mwanzilishi wa jina "Mkuu" kwenye majukwaa Mungu anakuona.

Poa mkuu ngoja waje
 
hahahahaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Ila on the serious note nashauri username na avatar mnazotumia ziwe zinaendana na jinsia ya ke.Hapo utaona mnaanza kuitwa mamii, dear, dada ,bby,anti na kadhalika.
 
I love you too Tajiri, ww niite vyovyote tu, maana humu kwenyewe majina fake Halafu nikupangie jina zuri la kuniita, mkuu iko Poa kwa jinsia zote lbd tu pm ukija na mitongozo basi badili jina au sio!
Poa mkuu, mapeema after dinner ntakuinbox[emoji111]
 
nikikuita lile lingine kabla hujabadilisha hili nitakuwa sawa bibie au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…