Kabisa mi sioni ubaya yan lbd ambao ni wapenzi serious kama smart na mahondaw hao sawamie ht pm ita mkuu sion ishu !
Kabisa mi sioni ubaya yan lbd ambao ni wapenzi serious kama smart na mahondaw hao sawa
Poa mkuu ngoja wajeKwakweli nachukia hii tabia ya Kaka zetu Jf kumuita mwanamke "Mkuu" kwenye haya majukwaa, tutafutien jina lingine jamani, kama tuko jeshini.
Wengine mtu mpaka anakutongoza pm anaweka swaga za mkuu hii ni hatari kabisa. Mmekosa kabisa jina la kutupatia zaidi ya kutupa hili jina?? itaneni wenyewe kwa wenyewe kwakweli.
Vladimir anapenda ndoa za mitaala sijui kama ntamuweza mweee!!ahhahaha au wewe na vladmir putin
Ila on the serious note nashauri username na avatar mnazotumia ziwe zinaendana na jinsia ya ke.Hapo utaona mnaanza kuitwa mamii, dear, dada ,bby,anti na kadhalika.hahahahaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Vladimir anapenda ndoa za mitaala sijui kama ntamuweza mweee!!
Poa mkuu, mapeema after dinner ntakuinbox[emoji111]I love you too Tajiri, ww niite vyovyote tu, maana humu kwenyewe majina fake Halafu nikupangie jina zuri la kuniita, mkuu iko Poa kwa jinsia zote lbd tu pm ukija na mitongozo basi badili jina au sio!
nikikuita lile lingine kabla hujabadilisha hili nitakuwa sawa bibie au?Kwakweli nachukia hii tabia ya Kaka zetu Jf kumuita mwanamke "Mkuu" kwenye haya majukwaa, tutafutien jina lingine jamani, kama tuko jeshini.
Wengine mtu mpaka anakutongoza pm anaweka swaga za mkuu hii ni hatari kabisa. Mmekosa kabisa jina la kutupatia zaidi ya kutupa hili jina?? itaneni wenyewe kwa wenyewe kwakweli.
[emoji3] kweli wewe mshededeAya mkuu
Basi wewe si mkuuSijawahi ita mtu yeyote hilo jina tangu niijue jf
Shetani wake ana miguu minne yan anampitia kila pande kus kas mash na magh hahahaaaanimekuachia !hahaha huwa simwelewi anataman kila mtu khaa
Usisahau na salio basi sio mtongozo wa kavu kavu tu mkuuPoa mkuu, mapeema after dinner ntakuinbox[emoji111]
Duuuhhhhh ,,hapa ndege inabidi ikate kona.Usisahau na salio basi sio mtongozo wa kavu kavu tu mkuu
Unabadili gia angani?? Subiri kwanza kbl hujageuzaDuuuhhhhh ,,hapa ndege inabidi ikate kona.
Aya because i am hamna kilichoharibika.Unabadili gia angani?? Subiri kwanza kbl hujageuza
Weeee mbiti wewe mwanamke mbaya ujue...badala ya kumpa moyo wewe unazidi kubomka ???nimekuachia !hahaha huwa simwelewi anataman kila mtu khaa