Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Ingali tupo hai damu itajibu uhai wa waliofariki,MiKONO yote michafu ya waliowezi itavunjwa na kukatwa vipande vipande na damu yao itakuwa ni sherehe kwa familia zilizoathirika na umwagaji damu wa wapendwa wao.
Dunia haikuachi salama ikiwa umetenda ubaya,ipo siku Tanzania itazinduka kutoka katika machela ya ulemavu mpaka ukomavu tutamwaga jasho letu kukimbizana na polisi,tutashuhudia na kumwaga damu zetu kwa maisha mazuri ya wapendwa wetu.
Kifo ni ishara ya kishujaa ikiwa unapambania haki yako.
Leo tumemzika KIBAO,kesho zamu ya nani?Njozi tunayoiota isitutawale
TUAMKE.
Dunia haikuachi salama ikiwa umetenda ubaya,ipo siku Tanzania itazinduka kutoka katika machela ya ulemavu mpaka ukomavu tutamwaga jasho letu kukimbizana na polisi,tutashuhudia na kumwaga damu zetu kwa maisha mazuri ya wapendwa wetu.
Kifo ni ishara ya kishujaa ikiwa unapambania haki yako.
Leo tumemzika KIBAO,kesho zamu ya nani?Njozi tunayoiota isitutawale
TUAMKE.